Mungu Tusamehe Afrika
Senior Member
- Jan 18, 2022
- 139
- 204
Kwanini sieleweki?We nawe denooJ haueleweki.
Ni kweli kabisaHuo Unafiki upo CCM tu rafiki
ndoa ya kishoa imekuwajeMiongoni mwa Wadada na Wanawake ambao wapenda Demokrasia Tunasubiri Kwa hamu watimiliwe CHADEMA ni huyu Jesca Kishoa.
Ambaye amefanya CHADEMA Iramba kama KIKOBA !Kwa Unafiki ambao amekuwa akitufanyia na kutufanyia sisi punda wake.
Hakika kama Kuna kitu Cha Maana ambacho Baraza Kuu litafanya na kufukiza chawa hawa akiwamo Jesca Kishoa.
Mungu husimama na wenye Haki.
Wafukuzwe mara ngapi?Miongoni mwa Wadada na Wanawake ambao wapenda Demokrasia Tunasubiri Kwa hamu watimiliwe CHADEMA ni huyu Jesca Kishoa.
Ambaye amefanya CHADEMA Iramba kama KIKOBA !Kwa Unafiki ambao amekuwa akitufanyia na kutufanyia sisi punda wake.
Hakika kama Kuna kitu Cha Maana ambacho Baraza Kuu litafanya na kufukiza chawa hawa akiwamo Jesca Kishoa.
Mungu husimama na wenye Haki.