Wana jamiiforum kwa nini mnapenda kunizeesha Demiss miye!

Wana jamiiforum kwa nini mnapenda kunizeesha Demiss miye!

Ila jamani wanajf kwa nini mnaninyanyasa mtoto wa mwenzenu.
Eeeh mtoto mbichi miyee hata miaka 25 sijafikisha chuchu konzi mnaniambia mm mzeee looh hebu mniachee.

Kuanzia leo sitaki kuzeeshwa mimi ndo kwanza bado binti mbn mnanilazimisha mimi kucomment kama mbibi mambo gani ya kuzeshana jaman agrrrrrr

Alafu mambo ya kunionea wivu kisaa bado binti inatoka wapii jamani yan unakutana na mtu ananizaa yupo busy kumjadili Demiss katoto kadogo khaaaa hebu niacheni jaman.

Nyongeza:
Yote tisa wanajf hamjamiss kitumbua kitamu tamu kama changu?

Updates!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nyongeza ya pili:Sitaaacha kuringa kamwe na hivi nina kazi ya uhakika inanipa pesaa.

Location: Dar
[emoji23][emoji23][emoji23] Umezunguuuuka! Ila point kuu ilikua kwenye huo mstari uliouita nyongeza, nimekuelewa @demis ila subiri kwanza hizi sikukuu zipite nitahitaji [emoji120]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Umezunguuuuka! Ila point kuu ilikua kwenye huo mstari uliouita nyongeza, nimekuelewa @demis ila subiri kwanza hizi sikukuu zipite nitahitaji [emoji120]
Hahahaha hahaha jamani agggr sitaki kusutwa miyeeee
 
Avatar yangu ndiyo mimi
Njooo hapa utanikuta
20181205_142702.jpeg
 
Yawezekana una miaka 25 ila muonekano wa kibibi.
 
Back
Top Bottom