Wana jamiiforum kwa nini mnapenda kunizeesha Demiss miye!

Wana jamiiforum kwa nini mnapenda kunizeesha Demiss miye!

Ila jamani wanajf kwa nini mnaninyanyasa mtoto wa mwenzenu.
Eeeh mtoto mbichi miyee hata miaka 25 sijafikisha chuchu konzi mnaniambia mm mzeee looh hebu mniachee.

Kuanzia leo sitaki kuzeeshwa mimi ndo kwanza bado binti mbn mnanilazimisha mimi kucomment kama mbibi mambo gani ya kuzeshana jaman agrrrrrr

Alafu mambo ya kunionea wivu kisaa bado binti inatoka wapii jamani yan unakutana na mtu ananizaa yupo busy kumjadili Demiss katoto kadogo khaaaa hebu niacheni jaman.

Nyongeza:
Yote tisa wanajf hamjamiss kitumbua kitamu tamu kama changu?

Updates!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nyongeza ya pili:Sitaaacha kuringa kamwe na hivi nina kazi ya uhakika inanipa pesaa.

Location: Dar
.
Kama unataka kupungiza miaka fanya kama wakogwe wenzako, fungua id mpya. Hivi unaamini kabisa kina Miss Strong, mamdenyi, heaven sent, masai dada, tumboo, etc hawapo humu? Wanatumia hii strategy, sasa hivi kwa id zao mpya, wamaendana na spidi. Chuchu zao zimekuwa konzi tena.
 
Kama unataka kupungiza miaka fanya kama wakogwe wenzako, fungua id mpya. Hivi unaamini kabisa kina Miss Strong, mamdenyi, heaven sent, masai dada, tumboo, etc hawapo humu? Wanatumia hii strategy, sasa hivi kwa id zao mpya, wamaendana na spidi. Chuchu zao zimekuwa konzi tena.
Hahahahahah jaman hahahah
 
Back
Top Bottom