Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kheee..!! Huku kubeti sasa.ngoja anipe nauli kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kheee..!! Huku kubeti sasa.ngoja anipe nauli kwanza
Wasakatonge, wavuja jasho mna Ela za maana Basi.Tatizo wanawake wa Jf tukiwapa hela hata kwa kuwasaidia mnaona mmetuweza au sisi ni mabwege.
Nb. Hakuna kutoa hela sasa hivi mwanaume mpe hela mama yako tuu
sema tu tatizo ni umaskini au hali ngumu ya maisha?Kwa kujua watu wengi kwa sababu ya biashara, urafiki na kubadilishana mawazo . Humu jf wengi ni watu wazima sio wanawake au wanaume wote ni watu wazima humu hakuna mtu ana 29 kushuka chini humu 31 kupanda juu .
Ushauri tuheshimiane na kusaidiana tusipende kutesana ni muda wakutoa mada za kusaidiana . Nakutatua mambo kama watu wazima huku no kids to share child stories , .
Kwani wewe unahela ??sema tu tatizo ni umaskini au hali ngumu ya maisha?
sema tu, niambie nijue
Tunaomba mtambukike kama extra au kupeko sisi wenye 29 kushuka chini uwepo wetu hautambuliki kabisa humu
Out of all names kupe jmnTunaomba mtambukike kama extra au kupe
Kama upo chini ya 29 automatikale unakua 31😁ko sisi wenye 29 kushuka chini uwepo wetu hautambuliki kabisa humu
We ukiambiwa umuangalie mtu kwa jicho la tatU utamuangalia?Daah nasisi wa 22 tuangaliwe kwa jicho la tatu mkuu
Ndio mkuuWe ukiambiwa umuangalie mtu kwa jicho la tatU utamuangalia?
Sasa tuwape lipi maana kwenye benchi la ufundi hawapo 😂au vinasaba vya watuOut of all names kupe jmn