Wana-JamiiForums hebu tuheshimiane

Wana-JamiiForums hebu tuheshimiane

Mbona unatupandisha ghorofani bila idhini[emoji23]

Eti 29+
 
kusaidiana kulikuwepo humu ila toka 'mzee wa assist' ayatimbange watu wamekuwa waoga sana labda kwa very close friends.
 
Kwa kujua watu wengi kwa sababu ya biashara, urafiki na kubadilishana mawazo . Humu jf wengi ni watu wazima sio wanawake au wanaume wote ni watu wazima humu hakuna mtu ana 29 kushuka chini humu 31 kupanda juu .

Ushauri tuheshimiane na kusaidiana tusipende kutesana ni muda wakutoa mada za kusaidiana . Nakutatua mambo kama watu wazima huku no kids to share child stories , .
sema tu tatizo ni umaskini au hali ngumu ya maisha?

sema tu, niambie nijue
 
Unataka mawazo na kusaidiana MMU? Nenda jukwaa la kilimo kuna konection za mbalali
 
Back
Top Bottom