Mpira ni burudani na FurahaViongozi wa Yanga wameona hapo ndo mwisho kimataifa wameona kundi ngumu hawavuki wameaamua kuwapoteza mashabiki maboya kuendelea kusherekea ushindi wa kumpiga mtani goli 5...
Hiyo hata Ally Kamwe alisema kabla mashindano hayajaanza kuwa malengo ni group stageUkubwa wa Club unapimwa kupitia malengo ambayo wamejiwekea kuyafikia.
Malengo ya Gongowazi waliojiwekea baada ya kusajili wachezaji kwa gharama kubwa na kuwalipa mishahara mikubwa...
Tulipowafunga 6-0, 5-0 na 4-1 hatujawahi kufanya hayo mambo,ingawa bado hamjazirudisha maana hata hiyo 5 ni 5-1Mpira ni burudani na Furaha
Usiwapangie watu jinsi ya kufurahia na kusherekea
Hata wewe unaruhusiwa kufurahia mpira butua butua au papatu papatu
Goli tano ni nyingi sana kama unaona ni kidogo Jaribu kuvaa suruali tano kwa pamoja
Wanaandaa Sanamu kubwa ya kuchongwa ya kukanda magoli 5 itawekwa mataa ya Moroco,Mwenge,Ubungo na Magomeni
Ni lini makolo mmeanza kuwa na uchungu na yanga? ni nyie tu ndio mnapiga kelele maana mshajua uwanjani hamtuwezi tumewapiga 5 juzi juzi sasa mnataka ku-justify ukubwa wenu kwetu kwa kutupa presha ya kufika mlipofika nyie miaka ya nyumba na yanga kufungwa kule Algeria naona mmepata sehemu ya kupumulia wakati wenye timu yetu tumerelax.Viongozi wa Yanga wameona hapo ndo mwisho kimataifa wameona kundi ngumu hawavuki wameaamua kuwapoteza mashabiki maboya kuendelea kusherekea ushindi wa kumpiga mtani goli 5...
Mechi na Wydad kingilio kitakuwa MoXtra au kipande cha Sabuni ya MO baada ya hapo unaenda Morocco. Ukirudi Azam ana kusubiria.Viongozi wa Yanga wameona hapo ndo mwisho kimataifa wameona kundi ngumu hawavuki wameaamua kuwapoteza mashabiki maboya kuendelea kusherekea ushindi wa kumpiga mtani goli 5.
Lengo lao ni kuwatoa mashabiki kwenye reli kuhusu mashindano ya kimataifa yanayoendelea na kutuliza maswali ili watu wasiwaze mechi za kimataifa na kuendelea kujadili ushindi wa goli 5.
Ni ajabu sana timu haiwazi mechi za mbele yake na kupoteza goli 3 lakini bado wanaendelea kusherekea ushindi wa mechi ya mwezi mzima uliopita.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2772][emoji2772][emoji2772]Ukubwa wa Club unapimwa kupitia malengo ambayo wamejiwekea kuyafikia.
Malengo ya Gongowazi waliojiwekea baada ya kusajili wachezaji kwa gharama kubwa na kuwalipa mishahara mikubwa.
Malengo yao ni kufika hatua ya makundi Club Bingwa.
Hayo ndio malengo ya Club ambayo kwa msimu mzima walikuwa wana fight ili kufika hatua hiyo.
Kwa maana hiyo, kwao hiyo ndio hatua kubwa sana ambayo wameona inaendana na thamani ya uwekezaji walioufanya.
Na mashabiki nao ni kama wameridhika na malengo ya Club yao kwasababu ni kitu ambacho hawajaki experience kwa muda mrefu.
Hujaitolea maelezo picha[emoji2772][emoji2772][emoji2772]View attachment 2827041
WaTulipowafunga 6-0, 5-0 na 4-1 hatujawahi kufanya hayo mambo,ingawa bado hamjazirudisha maana hata hiyo 5 ni 5-1
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni Simba, halafu unainyooshea kidole 👉 Yanga!! Angalia mwenyewe vidole vingapi vimekugeukia!!Viongozi wa Yanga wameona hapo ndo mwisho kimataifa wameona kundi ngumu hawavuki wameaamua kuwapoteza mashabiki maboya kuendelea kusherekea ushindi wa kumpiga mtani goli 5.
Lengo lao ni kuwatoa mashabiki kwenye reli kuhusu mashindano ya kimataifa yanayoendelea na kutuliza maswali ili watu wasiwaze mechi za kimataifa na kuendelea kujadili ushindi wa goli 5.
Ni ajabu sana timu haiwazi mechi za mbele yake na kupoteza goli 3 lakini bado wanaendelea kusherekea ushindi wa mechi ya mwezi mzima uliopita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wako ungekuwa Bora Kama ungeupeleka kwenye timu yako inayokaribia kukata roho, unashupalia ya jirani wakati nyumbani kwako ni uvundo mtupu!Viongozi wa Yanga wameona hapo ndo mwisho kimataifa wameona kundi ngumu hawavuki wameaamua kuwapoteza mashabiki maboya kuendelea kusherekea ushindi wa kumpiga mtani goli 5.
Lengo lao ni kuwatoa mashabiki kwenye reli kuhusu mashindano ya kimataifa yanayoendelea na kutuliza maswali ili watu wasiwaze mechi za kimataifa na kuendelea kujadili ushindi wa goli 5.
Ni ajabu sana timu haiwazi mechi za mbele yake na kupoteza goli 3 lakini bado wanaendelea kusherekea ushindi wa mechi ya mwezi mzima uliopita.
Sent using Jamii Forums mobile app
kipigo kile kimewabadilisha kabisaa na hapo badoUkubwa wa Club unapimwa kupitia malengo ambayo wamejiwekea kuyafikia.
Malengo ya Gongowazi waliojiwekea baada ya kusajili wachezaji kwa gharama kubwa na kuwalipa mishahara mikubwa.
Malengo yao ni kufika hatua ya makundi Club Bingwa.
Hayo ndio malengo ya Club ambayo kwa msimu mzima walikuwa wana fight ili kufika hatua hiyo.
Kwa maana hiyo, kwao hiyo ndio hatua kubwa sana ambayo wameona inaendana na thamani ya uwekezaji walioufanya.
Na mashabiki nao ni kama wameridhika na malengo ya Club yao kwasababu ni kitu ambacho hawajaki experience kwa muda mrefu.