Wana Jangwani kimataifa hapa ndiyo mwisho kubalini

Wewe ni Simba, halafu unainyooshea kidole 👉 Yanga!! Angalia mwenyewe vidole vingapi vimekugeukia!!

Imagine unatoa sare na Asec Mimosa kwenye uwanja wako wa nyumbani! Je, utaweza kweli kutoboa kwa Wydad Casablanca na Jwaneng Galaxy!! Kweli?
hao waydad tuliwalaza na viatu hapa bongo alafu kule kwao tukaenda kuweka msikiti uwanjani na round hii tutaanza kulipa kisasi kwa hao Jwaneng Galaxy
 
Mbona kama nyie ndiyo mnaoumia kuliko sisi wenye Yanga yetu
 
Wanajua washabiki wao ni hamnazo ndiyo maana wakawaandalia supu ya vibudu na kusambaza mabango ya goli tano nchi nzima na kweli washabiki wao wameridhika na hilo wala hawana habari kuwa wanatakiwa wapambane ili waingie robo fainali. Yupo kiongozi wao alisema kuwa wao wameshatimiza lengo la kuingia makundi hayo mengine itakuwa bonus tu kwao. Hao ndiyo wananchi.
 
Wewe sasa ndiyo mwananchi. Hongera kwa akili kubwa hii maulana akujazi.
 
Mechi na Wydad kingilio kitakuwa MoXtra au kipande cha Sabuni ya MO baada ya hapo unaenda Morocco. Ukirudi Azam ana kusubiria.
Mechi na Al Ahly mumeambiwa msivae chupi kabisa sijui mnaenda kufanyana nini
 
Wewe ni Simba, halafu unainyooshea kidole [emoji117] Yanga!! Angalia mwenyewe vidole vingapi vimekugeukia!!

Imagine unatoa sare na Asec Mimosa kwenye uwanja wako wa nyumbani! Je, utaweza kweli kutoboa kwa Wydad Casablanca na Jwaneng Galaxy!! Kweli?
Tutavuka daraja tutakapo lifikia
 
Yanga haijawahi kuifunga Simba 5-0

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa bbc katutunzia kumbukumbu usidhan h2h tunawazid simba kibahati mbaya Yanga inapiga mpira mwingi, kila kitu tunawazid hadi makombe, sema hapa kitu ambacho simba anamzidi yanga tuone…Usicheze na kina pakome mkuu
 

Attachments

  • 795D3442-0C85-492C-AE85-AFD02D600875.jpeg
    242.2 KB · Views: 1
Gar litawaka Dec 2,
 
sisi wanayanga ni wanamichezo hivyo tukifingwa au kufunga hatuyumbi
 
Hivyo vingine sivijui, maana wanasema aisifiae mvua imemnyeshea, inawezekana hata ww Manula katoka langoni.

NB :Jifunze kutoa hoja bila kumprovoke mtu huu mpira,ila unacho kitaka utakipata.
Soma tena post yako #32 wewe mbwiga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…