Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,341
- 5,543
Hah ahah haaa.......hivi kumbe nilikosea? Nadhani ule muda naandika huyu Vin Diesel alipita kwenye mind yangu.....
Kuna nini hapa jamani!?
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hah ahah haaa.......hivi kumbe nilikosea? Nadhani ule muda naandika huyu Vin Diesel alipita kwenye mind yangu.....
Kuna nini hapa jamani!?
Wana Chit Chat tunachat mpenzi...
Okey! Kuna vitu vyeusi nimeona hapo juu nikadhani ni mapichapicha!
We umemweka kwenye mind, wakati wajanja wamemweka na maungoni kote.
Shaurilo.
Kama anatumia hiyo ni noumer...alcohol 48%:ranger:
My pleasure, Darling!
Unatumia Konyagi ya Tanzania au Waraqi ya Uganda?......sema fasta uhudumiwe!
Kinywaji gani kile kinanukia marashi ya 'Seductive'Tangu nimetoka Tanga natamani tu kunywa ANJARI
ahaaaaa nitumie bwanaKinywaji gani kile kinanukia marashi ya 'Seductive'