Wana jf leo Weekend tunatoka vipi?

Wana jf leo Weekend tunatoka vipi?

😴😴 koo linakauka ndugu zangu
 
Mi hata hela ya kula sina, we unataka ya pombe
...... Maisha haya dah!!!
 
Kama upo.dar nicheki dm nadondoka soon kutoka seoul nipo kenya,now aorport tukale bear ntakufata na gr na ntakulipia ubber asbh urudi kwako
 
Kama upo.dar nicheki dm nadondoka soon kutoka seoul nipo kenya,now aorport tukale bear ntakufata na gr na ntakulipia ubber asbh urudi kwako
Duu mzee nipo mkoa mzee Asante Sana
 
Mods sio watu asee nyuzi zangu wanafuta sana huu nao naona upo mashakani,
 
Back
Top Bottom