Peacesmart
Senior Member
- Apr 19, 2017
- 113
- 101
Naomba Maoni yenye busara ndugu wa JF kuhusu huyu mwanaharakati mwenye Ushawishi mkubwa mtandaoni Mange Kimambi...unafikiri ana anaisaidia jamii ya kibongo kwa mtindi anaotumia kuwakilisha mitazamo ya wengi mtandaoni? Maana yeye ana haki ya kutoa Maoni lakini pia wengi wamekua wakimtumia yeye kama loud speaker as hawapendi kujulikana I D zao...kuna lolote ungependa kumshauri karibuni wadau!.
Let's go!!!..shoot out that Maoni naomba msitukane tafadhali.
Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
Let's go!!!..shoot out that Maoni naomba msitukane tafadhali.
Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app