Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Yako wap nikuuzie mmBila shaka hamjambo wana Jf, nisiwachoshe nahitaji mashati kama haya niliyoabatanisha na hii thread kwa hapa Dar.
Natanguliza shukurani zangu.
Kabla ya shukrani kwanza, ungeambatanisha picha za hayo mashatiBila shaka hamjambo wana Jf, nisiwachoshe nahitaji mashati kama haya niliyoabatanisha na hii thread kwa hapa Dar.
Natanguliza shukurani zangu.
Kiongozi kwenye ku post thread nilijitahidi ku attach na picha karibu mara tatu nikipost nashangaa picha ya mashati sioni sijui nakosea wapiPicha hujaweka
Sawa kiongoziKabla ya shukrani kwanza, ungeambatanisha picha za hayo mashati
We jamaa, kwani kakutumia picha wewe peke yako?Haya najua yapopatikana nipigie simu hiyo hapo niambatanisha
Na Mimi hiyo hapo nimeambatanishaHaya najua yapopatikana nipigie simu hiyo hapo niambatanisha
Mkuu kwenu huzioni hapo juu!?We jamaa, kwani kakutumia picha wewe peke yako?
Mnaambatanisha maelezo wallah..!!Na Mimi hiyo hapo nimeambatanisha
Mkuu mbona keshaweka,Tunasubiri hili shati
AahaaaaaaaMnaambatanisha maelezo wallah..!!
Utakuwa umeona peke yako, nimerefresh bilabilaMkuu mbona keshaweka,