Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
NImerefresh, nikaangalia na uvunguni lakini wapi..!!!Utakuwa umeona peke yako, nimerefresh bilabila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NImerefresh, nikaangalia na uvunguni lakini wapi..!!!Utakuwa umeona peke yako, nimerefresh bilabila
Mkuu au unatumia zero jamiiforums Kwa wasio na bando!?Utakuwa umeona peke yako, nimerefresh bilabila
Bila shaka hamjambo wana Jf, nisiwachoshe nahitaji mashati kama haya niliyoambatanisha na hii thread kwa hapa Dar.
Natanguliza shukurani zangu.
Ahaaaaaahaya mashati ni kama yale ya kwenye hadithi ya mfalme alivaa mavazi wenye akili wanaona yuko uchi ila chawa wake waliyakubali sana
haya mashati yanapatikana kwa wingi katavi
Ukikutana na fala jifanye fala maisha yaendeleeWe jamaa, kwani kakutumia picha wewe peke yako?
Unayo aina hiiYako wap nikuuzie mm
👇👇👇👇 Aina hiiYako wap nikuuzie mm
Kiongozi sorry kwa usumbufu picha ilikuwa inagoma ku apload kutoka kwenye file la kawaida imebidi nizitume messenger, huko zimekubali ku attach.Ukikutana na fala jifanye fala maisha yaendelee
Ndugu shati ninazo zitaka ni hizi ,👇👇👇👇
Serikali hii kweli imewa gasburning middle class, yaani wamechanganyikiwa mno,picha ya mashati mbona ipoWatu wame vurugwa waka vurugika aisee
Aina hii unayo ndugu yangu au??Yanapatikana size gani unataka?
Serikali hii kweli imewa gasburning middle class, yaani wamechanganyikiwa mno,picha ya mashati mbona ipo
Nawe tusamehe kwa kurusha mawe...tulikuwa tunakuweka sawaKiongozi sorry kwa usumbufu picha ilikuwa inagoma ku apload kutoka kwenye file la kawaida imebidi nizitume messenger, huko zimekubali ku attach.
Mashati aina hizi👇👇👇
Sawa usijali kiongozi, mawe yalikuwa mengi ila yameniweka sawa 😂😂😂Nawe tusamehe kwa kurusha mawe...tulikuwa tunakuweka sawa
Nakutumia simu ya muuzajiKiongozi sorry kwa usumbufu picha ilikuwa inagoma ku apload kutoka kwenye file la kawaida imebidi nizitume messenger, huko zimekubali ku attach.
Mashati aina hizi👇👇👇