wana jf mpo!

katebhalila

Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
25
Reaction score
3
Napenda kuja kuchambua siasa za ukweli na kupata maoni yenu yaliyo na dhati ya moyo.
Muda mwingi nimesoma makala mbali mbali, nikagundua kuna ushabiki wa kisiasa Tanzania.
Je kwa nini tusijadili maslahi ya wananchi wa kawaida na maslahi ya kitaifa badala ya yale ya mtu na vikundi tunavyovishabikia.
Tupeane elimu ya ukweli.
 
Tupo karibu...
tulia basi hata uvute pumzi mgeni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…