Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

Stuka hata huo unatumika siku hizi, yaani aende jumamosi halafu jamaa on the same day amuombe biolojia dah atakuwa kweli amekaa kingono zaidi

mie cwaelewi hapa, kama ni hivyo huyu mdada ashauriwe asiende, vingenevyo kama anataka kwenda ategemee lolote huko kwa huyo mkaka.
 
Na ni mgumu kweli kweli kwani ameshasema hana mpango wa kuongeza mwanaume mwingine katika list waliopita wanatosha

hao 18 aliowahi kuwa nao before wanatosha jamani, sasa aongeze kwanini??????
 
Halafu mkiishamegwa mnakuja hapa mnaanzisha thread ohoo wanaume hawafai kanimega kisha kaondoka kumbe wenyewe mnaona poa, anywayz MALARIA HAIKUBALIKI

hakunaga cha kuduliwa mwanaume akaondoka, kwani alimbaka....wadada hawasomi alama za nyakati kabisa, hawatofautishi mapenzi na matamanio.
 
mie cwaelewi hapa, kama ni hivyo huyu mdada ashauriwe asiende, vingenevyo kama anataka kwenda ategemee lolote huko kwa huyo mkaka.

Na ndio maana na mimi nikasema haina haja hata ya kumshauri whether aende au asiende akili kwenye kichwa chake mwenyewe sababu ana hiari ya kusema ndio au hapana hata akiombwa biolojia ishu zingine bwana nyamayao acha tu kuna vitu vya kutumia akili yako mwenyewe hauhitaji mtu akushauri
 
hao 18 aliowahi kuwa nao before wanatosha jamani, sasa aongeze kwanini??????

hata baada ya miaka huyu mkaka akamduu atakuwa ameshaongeza list...ya kuoana hayajulikani.
 
Me wa hivyo kwa kweli hata kama atanimega na kusepa poa tu kwani hata yeye atakuwa amehangaikia sana kwani akimega ataondoka nayo?

ubarikiwe Maty!
 
hakunaga cha kuduliwa mwanaume akaondoka, kwani alimbaka....wadada hawasomi alama za nyakati kabisa, hawatofautishi mapenzi na matamanio.

LEO KAZI YANGU MOJA TU

The Following User Says Thank You to Nyamayao For This Useful Post:
The Finest(Today)​
 
nilidhani umesahau

Aise ile haisahauliki! Sikia tu watu wakizungumzia ngoma lakini ikitandaza wingu lake katika anga zako hakuna rangi utaacha kuona. Yaani hicho kihoro hakielezeki.
 
Halafu mkiishamegwa mnakuja hapa mnaanzisha thread ohoo wanaume hawafai kanimega kisha kaondoka kumbe wenyewe mnaona poa, anywayz MALARIA HAIKUBALIKI

Sio hivyo finest sasa mtu eti amekufuatilia muda mrefu ametoa mpaka mahari kwenu, katika hali ya kawaida utamnyima kweli huyo mtu we unaona inawezekana hiyo? unampa na hata akiamua kusepa poa kwani hata kama yeye kamega na mimi mahari yake nimekula
 
MATY KWA MSAADA ZAIDI.....WELL HII NI KWA HISANI YA ISC

Women need a reason to have sex, but men just need a place
 
Sio hivyo finest sasa mtu eti amekufuatilia muda mrefu ametoa mpaka mahari kwenu, katika hali ya kawaida utamnyima kweli huyo mtu we unaona inawezekana hiyo? unampa na hata akiamua kusepa poa kwani hata kama yeye kamega na mimi mahari yake nimekula

1. Kwenye nyeusi hata mimi naweza nikaja na gia hiyo nikamega nikasepa
2. Kwenye nyekundu mahari anapokea na wewe au mzazi wako?
 
kama ni hivi huu ushauri mpe na mwenzio aufanyie kazi...

Ni hivi nyamayao dia yaani yule anasema kuna wanaume wanafuatilia wanatoa mpaka mahari sasa ikifikia hatua hiyo utamnyima kweli? Na ukimpa halafu akasepa roho ikuumie nini? hebu nipe uzoefu kuhusu hili mpenzi. Na huyo mdada anachojiuliza ni kwamba yeye alitokea kumzimikia huyo kaka lakini huyo kaka hajawahi kujua na wala hatojua kwamba yule dada alikuwa anamzimia na imepita muda mrefu kidogo mpaka huyo dada alishaanza kusahau ikatokea huyo kaka akamtokea na kumwambia alikuwa anatamani kumsemesha siku nyingi ila alikuwa anaogopa kwa sababu huyo dada yuko serious sana. Sasa ndio anajiuliza kuna mapenzi ya kweli hapo kwani wote walikuwa wanazimikiana.
 

kusema kweli hata mimi nimewaza kuwa huena ktk hiyo miezi sita huyu kaka ameona kuwa huyu dada anampenda ndo maana hata hajaogopa kumkaribisha nyumbani.manake japo angemuomba watoke out kwa dinner or something lkn yeye kaambiwa aende nyumbani kwa mkaka kwa first meeting.hata hivyo labda inaweza ikawa sivyo tunavyowaza.ingekua mimi nisingeenda huko nyumbani kwake.
 
1. Kwenye nyeusi hata mimi naweza nikaja na gia hiyo nikamega nikasepa
2. Kwenye nyekundu mahari anapokea na wewe au mzazi wako?

Kwanza hiyo kitu hakuna kabisa mtu hawezi kupoteza muda wake na pesa yake kwa ajili ya demu na akitokea wa hivyo kwa kweli mimi nitampa saluti mtu utoe mpaka mahari? kwa kweli mimi mtu kama huyo akimega akasepa hata roho haitoniuma kwanza ni kumi kwa mmoja
 

dearest maty kuzimikiana hakujagi kwa style iyo ..hao ndugu zako WANATAMANIANA tu wala hawapendan
kuzimikana aka mapenz yanachukua muda kukua si kiraisi ivo et mnaonana tu kwa mbali mbali ata hamjawai zungumza kwa kierfu afu useme wanazimikiana????
WANATAMANIANA ....wape muda na ikiwezekana uje ulete repot apa j3 kilichojiri alivyoenda kwa iyo njimbi!!!!!!



 

cjui kama nimekuelewa...wanaume wanagapi wameshamtolea mahari? kwanini wanasepa wakishatoa?.....huyu dada anajiuliza mawaswali gani yacyo na kichwa wala miguu? sasa kamzimikia mkaka, mkaka atajuaje kama anazimikiwa bila kuambiwa? au ana uwezo wa roho mtakatifu, cjui ckuelewi wewe au huyo mdada lakini sielewi elewi jambo hapa.
 

Yaani huyo kaka hajui kabisa kama huyo demu alikuwa anamzimia kwanza huwa hawaonani mara kwa mara na kuna kipindi huyo kaka alienda zake kusoma hata huyo mdada alishasahau habari zake ila ikatokea alivyorudi akaanzisha sera
 

Refer to what i told you, naweza nikakutolea mahari nikakumega nikasepa, mahari kitu gani watu wanasepa siku mtu anaenda kufunga ndoa kanisani iwe kwenye mahari WATCH OUT, COMING SOON
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…