Yaani huyo kaka hajui kabisa kama huyo demu alikuwa anamzimia kwanza huwa hawaonani mara kwa mara na kuna kipindi huyo kaka alienda zake kusoma hata huyo mdada alishasahau habari zake ila ikatokea alivyorudi akaanzisha sera
Me wa hivyo kwa kweli hata kama atanimega na kusepa poa tu kwani hata yeye atakuwa amehangaikia sana kwani akimega ataondoka nayo?
Sio hivyo finest sasa mtu eti amekufuatilia muda mrefu ametoa mpaka mahari kwenu, katika hali ya kawaida utamnyima kweli huyo mtu we unaona inawezekana hiyo? unampa na hata akiamua kusepa poa kwani hata kama yeye kamega na mimi mahari yake nimekula
sasa tatizo lipo wapi?...c huyo mdada afate moyo wake unavyosema? jamani.
cjui kama nimekuelewa...wanaume wanagapi wameshamtolea mahari? kwanini wanasepa wakishatoa?.....huyu dada anajiuliza mawaswali gani yacyo na kichwa wala miguu? sasa kamzimikia mkaka, mkaka atajuaje kama anazimikiwa bila kuambiwa? au ana uwezo wa roho mtakatifu, cjui ckuelewi wewe au huyo mdada lakini sielewi elewi jambo hapa.
maty ukimwi upo na unaua hauna kinga wala dawa
mwogope mungu usikubali kuwa kicheche kwa kumegwa megwa ovyo ovyo shauri yako utaitwa mama huruma au jamvi la wageni
Maty UKIMWI upo na unaua hauna kinga wala dawa
Mwogope Mungu usikubali kuwa kicheche kwa kumegwa megwa ovyo ovyo shauri yako utaitwa mama huruma au Jamvi la wageni
Huyo dada hajawahi kutolewa mahari, ila kuna mtu alisema hapa kuwa kuna watu huwa wanatoa mpaka mahari halafu wanamega wanasepa ndio mimi nikajibu kwamba akija mtu wa hivyo kwangu akahangaika mpaka akatoa na mahari akimega wala sitoumia
maty ckusomi kabisa leo....
Inawezekana hisia zako zikawa kweli mpendwa heshimu hisia zako
Yaani mimi na akili zangu niache shughuli zangu za kutafuta chakula ya wanangu nije kutaniana na watu hapa JF katika jambo kama hili
UKIMEGWA NI KIHEREHERE CHAKO MWENYEWE:biggrin1::biggrin1:
Ni kweli ashaonyesha maralia ila huyo mshkaji hajashtukia wala nini, ila kwa kweli hana mpango wa kumegwa kabisa ambacho anashangaa ni kuona kwamba alikuwa anamzimikia bila jamaa kujua alafu jamaa akaja kumuomba urafiki
kama ni hivi huu ushauri mpe na mwenzio aufanyie kazi...
ikifikia hatua hiyo tutaweka lile tangazo la "parking at owners risk"
kama kawaida mzee wa ma-punch, wape za uso mi sio handsome ila rijari big thm, yani hapa nimefurahi kweliAASIDANGANYIKE KWA UHAND SAM
kwa utafit mdg nilionao ni kwamba mahand sam boy weng wana matatizo thy nt rensposbo at ol wanajua ukimwacha poa tu mademu kibao asi wanampenda sasa shost atakuwa yupo tayar kuwa katika mapenz ya utumwa that umtumikie yeye tu wewe raha nehi amani nehi?
wana dharau na wana msemo mmoja ivi ..m magnetic boy so...anaweza akapull galz as much as he wants..dada ebu achana na sifa i ya NI HAND SAM UYO...?AHH UTALIA NAKWAMBIA NA MWSHO WA SIKU UTAJUTA UTATAMANI ATA UNGEMKUBALI REMMY ONGALA AU MASUD MASUD!!!!
uhand sam ni uko kwao yeye na mamake that nimezaa mtoto wa kiume hand sam kweli kweli..wewe inakuhusu nin?chek kidume km kipo rensponsble kwa sphere zote za utu then pick him uhandsam kwan utaenda kumuuza uyo upate ela au utampeleka kwenye mashndano ya mahandsam boy?