Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

Ni kweli ashaonyesha maralia ila huyo mshkaji hajashtukia wala nini, ila kwa kweli hana mpango wa kumegwa kabisa ambacho anashangaa ni kuona kwamba alikuwa anamzimikia bila jamaa kujua alafu jamaa akaja kumuomba urafiki


maty ckusomi kabisa leo....

Tatizo watu waongelea demu kumegwa badala ya kujua kuwa huko ni kumegana.

Hata mimi siwaelewi. Kama dada anaogopa kutoa nanihi yake uhusiano anataka wa nini? Mimi nilishaapa kuwa hakuna uhusiano bila dudu. Yeye aitumikie nafasi yake hata kama inamweleza kuwa akikutana naye njiani ampe hapo papo!
 
yani mpka hapo rose sina chakuchangia cz umemaliza kila kitu,upo fiti my dear nadhani hata mi nilete languunishauri kiukweli siku hizi ukiangalia uhandsome mbona umechelewa kuna vitu vya msingi kama alivyotaja rose basi.
 
huwezi kujua kwa macho mpk muingie kwenye game kwa hiyo pia ukibna sana unaweza kuingia kwenye tundu la choo
 

Nimekupata babu kupenda anapenda ila kumegwa no babu wale 18 wanatosha
 


kaka....cku nyingine plz ucjaribu kunifanya nikacheka hivi...hapana aisee...nimecheka mpaka nimesh2a wengine....haki ya nani kaka leo umenimaliza.
 

Babu leo umeamkia wapi maana huwa nafuatilia sana wewe huwa unapinga sana infi sasa leo mbona unahalalisha? anyway nimekupata
 
kaka....cku nyingine plz ucjaribu kunifanya nikacheka hivi...hapana aisee...nimecheka mpaka nimesh2a wengine....haki ya nani kaka leo umenimaliza.

Yaani we hunizidi mimi nyamayao humu watu wana visa jamani sijawahi kuona halafu DC kwanini unasema hakuna uhusiano bila dudu kwani dudu inahusianaje
 
Babu leo umeamkia wapi maana huwa nafuatilia sana wewe huwa unapinga sana infi sasa leo mbona unahalalisha? anyway nimekupata

Maty ni hivi....twende taratibu...

Huyu dada anampenda jamaa au hapana? Sasa kama anampenda dudu ina thamani tena mbele ya mapenzi yake kwa huyo jamaa? Mimi nadhani kitu cha kwanza ni kuitumia nafsi yake ambayo inamweleza pasi na shaka kwamba anampenda jamaa. Na hayo mambo ya kumegana ni matokeo. Sasa anaanza kuweka vizingiti ndo yanaweza kumtokea puani. Ni sawa na kujaribu kwenda mahakamani wakati huo una nakala ya hukumu...Ni hatari sana hiyo. Yeye ajimwage uwanjani, acheze mechi (siyo ngono) wakati akisubiri matokeo. Na ajue anaweza kupigwa bao au akapiga yeye au ngoma droo. Kwanini nawaza zaidi kupigwa bao tu?
 
Nani anataka kumegwa humu?
Samahani, kinaongelewa nini? naona lisredi linakimbia tu!~
 
kaka asprin,..inamanisha asilimia kubwa ya waliooana walifanya after marriage au?cjakupata kaka
 
Yaani we hunizidi mimi nyamayao humu watu wana visa jamani sijawahi kuona halafu DC kwanini unasema hakuna uhusiano bila dudu kwani dudu inahusianaje

Unajua Maty, haya mambo yanakwenda na umri. Kama mko under 20 au within 23, 24 or 25 bado muda upo. Ila ikishafika 29 na kuendelea ni lala salama hiyo. Ni heads on business. Hata hivyo simaanishi kuwa unafungua mlango na kupakua msosi hapo hapo. Unajipa muda kidogo kuuandaa huo msosi ili uwe mtamu zaidi ingawa hakuna muda mwingi tena wa kupoteza.

Umenipata hapo Maty?
 

Nimekupata DC kwa hiyo nmwambie avute vute halafu atoe eee asibanie sana c ndio
 
kaka asprin,..inamanisha asilimia kubwa ya waliooana walifanya after marriage au?cjakupata kaka

alf kweli ka DC mjibu huyu swali lake embu tudadavulie ina maana bila kuonja hauoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…