Wana jf,mwenzenu nimewawakilisha kwenye maandamano ya nasa leo hii!

Wana jf,mwenzenu nimewawakilisha kwenye maandamano ya nasa leo hii!

Mnaosema Railla akapumsike gojea io moto inakuja uko. Usuri yangu; Kinyata awesa rudisa moyo ake apadili iyo tume tu na date mupya ya uchagusi iwekwe. Hii itaondoa hiyo taab ote
Huyu mdanganyika ameongea lugha gani hapa? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona hatuoni nyuki mkivamia Kwa ikulu kazi kuvaa vichupi vya fungua server

Ety mko kwenye maandamano mnapiga selfie na mbwa bata kweli nyie wakenya

Yakiwashinda msije Tanzania hatupokei machokoraa
 
Hehehehe!! moooo faya, safi sana ila mie nawachekia dirishani, yaani mabomu ya tear gas yanarindima mjini.
 
Wivu kidonda usishiriki ndugu!
Nyinyi mnahujumu uchumi vibaya na hii maandamano yenu. Just look at all these idlers ,unproductive goons and freeloaders.Kenya ina wenyewe na wao ni wale wanafanya kazi kwa bidii na kuweka maslahi ya nchi mbele ya siasa.
 
Eeee! Mungu Wangu help me! To kill all NAsa people!
 
Mapambano yanaendelea mazee..
FB_IMG_1507818756350.jpg

Ila raila alishatinga kule uingereza kuweka mambo sawa[emoji3] [emoji109] si mnajuaga ss na wao ni wamoja[emoji115] .
Hio kesho atafanya mazungumzo na malkia wetu huko huko uingereza baby[emoji191] [emoji125] [emoji636]
FB_IMG_1507818896843.jpg

FB_IMG_1507830875714.jpg

[emoji636] [emoji636] [emoji636]
 
Hongera kwa kutekeleza haki yako ya Kikatiba
Acha na ss tukupe haki zako za kikatiba za kusafishwa mecho, ila ni kitoweo cha bondia babu owino [emoji125] [emoji116]
FB_IMG_1507198361347.jpg
FB_IMG_1507198355440.jpg
FB_IMG_1507198346733.jpg
 
Kwa mtindo huu nairobi inaweza geuka jwangwa, miti yote mnatumia leo 😀😛
Hii tabia huwa inaniudhi sana, kila maandamano lazima watu waharibu miti na maua. Tabia zingine si za binadamu ni za sokwe bana.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom