Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Huyu mdanganyika ameongea lugha gani hapa? [emoji23][emoji23][emoji23]Mnaosema Railla akapumsike gojea io moto inakuja uko. Usuri yangu; Kinyata awesa rudisa moyo ake apadili iyo tume tu na date mupya ya uchagusi iwekwe. Hii itaondoa hiyo taab ote
Haha , kua mzalendo nayo ni kazi mzee ...!Hehehehe!! moooo faya, safi sana ila mie nawachekia dirishani, yaani mabomu ya tear gas yanarindima mjini.
Nyinyi mnahujumu uchumi vibaya na hii maandamano yenu. Just look at all these idlers ,unproductive goons and freeloaders.Kenya ina wenyewe na wao ni wale wanafanya kazi kwa bidii na kuweka maslahi ya nchi mbele ya siasa.Wivu kidonda usishiriki ndugu!
nimestaajabu Geza mwenyewe anaelewa haki za kikatiba. Mbona naww usiwe change agent kwenu bongo uwaelemishe wenzako?Hongera kwa kutekeleza haki yako ya Kikatiba
Hii tabia huwa inaniudhi sana, kila maandamano lazima watu waharibu miti na maua. Tabia zingine si za binadamu ni za sokwe bana.Kwa mtindo huu nairobi inaweza geuka jwangwa, miti yote mnatumia leo 😀😛
HahahaIla ukweli usemwe nimmissi my wife na baby mazee, baada ya maandamano ninakuja home![emoji116] [emoji182]
View attachment 607027