Wana JF, Naomba kujuzwa juu ya pishi liitwalo Stima

Wana JF, Naomba kujuzwa juu ya pishi liitwalo Stima

Nisome hapa chini bwana. Shida yako husomi, sasa sijui kama kupika utaweza wewe. Uniite nije kukupa marks

nthamehe king'asti nilikuwa over excited kulipata hlo pishi my dear..kupika najua sanaaa hafu ukiambiwa ulitofautishe na mchemsho wa kawaida si hamna tofauti?
 
Yaani wewe!
Haujui kupika bwana, niite nitoe marks. Mchemsho wa kawaida hauna rojo unakuwa na mchuzi aka thupu. Hii unaacha ichemke iishilie, hadi naandika kimasai sasa khaa. Halafu steamer unaweka vitunguu kama mia hivi hehehe. Mchemsho wa kawaida mie sitii vitunguu. Ni karoti na hoho tu, siku zikipanda za kisambaa naweka nyanya chungu zile chungu. Basiiii
nthamehe king'asti nilikuwa over excited kulipata hlo pishi my dear..kupika najua sanaaa hafu ukiambiwa ulitofautishe na mchemsho wa kawaida si hamna tofauti?
 
Yaani wewe!
Haujui kupika bwana, niite nitoe marks. Mchemsho wa kawaida hauna rojo unakuwa na mchuzi aka thupu. Hii unaacha ichemke iishilie, hadi naandika kimasai sasa khaa. Halafu steamer unaweka vitunguu kama mia hivi hehehe. Mchemsho wa kawaida mie sitii vitunguu. Ni karoti na hoho tu, siku zikipanda za kisambaa naweka nyanya chungu zile chungu. Basiiii

nzenze ...sijui ni osie/weshuuu... nimekuthoma pliz usiandike kimasai tena ..hongaaa
 
Sidhani. Makange sio mchemsho. Kwenye makange nyama, kuku ama samaki inachomwa ama kukaangwa kwanza. Hii unachemsha na unamalizia na rojo ya supu kiduchu. Steamed fish mapishi yanakuwa tafauti kidogo
King'asti ya fish inakuwaje?plizz
 
Last edited by a moderator:
Sidhani. Makange sio mchemsho. Kwenye makange nyama, kuku ama samaki inachomwa ama kukaangwa kwanza. Hii unachemsha na unamalizia na rojo ya supu kiduchu. Steamed fish mapishi yanakuwa tafauti kidogo

Steamed fish inakuwaje?
 
Guys kama mnaongelea stemer au steaming basi ni kitu tofauti, kwa uzoefu wangu au utaalam wangu nikiwa executive chef, steam ni method of cooking food kwa mvuke, kwa mfano mbogamboga za kijani huwa tuna steam ili rangi isipotee na virutubisho, hata stemed fish, chicken nk. Kuchemsha kuku ana hizo mboga mboga huko ni kuchemsha, boiling au broiling ni moja ya method of cooking food, labda kama style hiyo ndo inaitwa stemer, but maana halisi ya steam au Kifaa chenyewe stemer ndo hiyo.
 
Ni steamer nadhani. Ni chakula very simple. Unachemsha kuku, ama mbuzi ama ng'ombe. Ikikaribia kuiva, kata vitunguu vingi (cubes zinapendeza zaidi) na weka pamoja na pilipili na ndimu. Acha vichemke hadi maji yapungue kabisa upate rojo flani ya kulia ugali.

Katika upishi huu ujanja ni balancing ya maji, uweke mengi na usiongeze njiani. Ikibidi kuongeza tia maji ya moto. Wingi wa vitunguu ndio utamu kolea. Unaweza kuweka carrots na hoho ila usitie nyanya


Asante bibie kwa maelezo yako. Maana yake mimi nimezaliwa na kukulia Tanga na nilikuwa najiuliza hii stima ni nini. Je ni tsima (ugali - kidigo/kirabai), au steamer (mvuke), upishi unaotumiwa kupikia samaki, wali, hata nyama. Vitunguu vingi ni muhimu kwenye nyama, maembe mabichi kwenye samaki.

Nikipita mitaa ya kwenu nikaribishe dada naona nitabweda.
 
Tabia mbaya kula kwa watu, hujakatazwa na mzazi wako wa kike?
Asante bibie kwa maelezo yako. Maana yake mimi nimezaliwa na kukulia Tanga na nilikuwa najiuliza hii stima ni nini. Je ni tsima (ugali - kidigo/kirabai), au steamer (mvuke), upishi unaotumiwa kupikia samaki, wali, hata nyama. Vitunguu vingi ni muhimu kwenye nyama, maembe mabichi kwenye samaki.

Nikipita mitaa ya kwenu nikaribishe dada naona nitabweda.




Steamed fish inategemea unapika local ama kama una steamer.
1. Unaandaa samaki kwa kusafisha kabisa, pakaa chumvi, ndimu, pilipili, tangawizi na vitunguu swaumu. Acha kama nusu saa viungo vikolee.

2. Katakata karoti, hoho na vitunguu kwa size kubwa kubwa, itapendeza shape ikifanana. Unaweza kukata na mboga za majani kama kabichi ama chinese cabbage

3. weka kwenye foil nusu ya mboga mboga na kisha weka samaki kwenye foil juu ya mboga mboga na umalizie nusu ya mboga kumfunika samaki wote. Funika foil vizuri makange

4. Unaweza kumuweka samaki ndani ya sufuria yenye mfuniko. Na sufuria ikatumbukizwa ndani ya sufuria yenye maji yanayochemka na kufunikwa tena. Hii ni local steaming. Kuna microwave zina steamer, unatumbukiza ndani ya na kuweka dakika kama 20 hivi. Unaweza pia kumchoma kwa moto mdogo na mkaa ama oven na samaki ataiva kwa mvuke wa ndani ya foil.
Steamed fish inakuwaje?




Makange ya samaki unakaanga ama kuchoma samaki. Then kaanga vitunguu vingi, ikifuatiwa na nyanya chache. Kaanga hadi nyanya zikauke maji kabisa. Then weka hoho na carrots vinegar/ndimu (apple cider vinegar ina faida zaidi, google it) na immediately weka samaki. Pika kwa muda mfupi then geuza kupata ladha pande zote. Pika ugali na mboga za majani halafu unipigie nije kukagua
King'asti ya fish inakuwaje?plizz
 
Last edited by a moderator:
This style of fish is superb nampikia mume wangu leo dear am in love with it asante sana king'ast
 
Back
Top Bottom