Elections 2010 Wana jf naomba radhi kwa hili la dr. Slaa

Elections 2010 Wana jf naomba radhi kwa hili la dr. Slaa

Sikujua kama mtaipokea negatively idea ya kufungua akaunti kwa ajili ya dr. Slaa!hakika sikuwa na lengo baya, kilichonisukuma kuleta wazo hili ni kutokana na watu kudai kuwa dr. Anaweza kuona kama vile alikosea kugombea urais kwani atakosa mshiko wa ubunge! Mimi nikaona kama ni mshiko si lazima aupate bungeni hivyo basi nikatoa wazo la kufungua akaunti wafuasi wake tuwe tunampatia kile ambacho pengine angekipata bungeni na asione kama amepoteza sana.nitafurahi endapo wana jf na wazalendo wenzangu mtanisamehe kwa hili. Nampenda sana dr. Slaa, naipenda chadema, naipenda tanzania natamani siku moja nchi yetu ikombolewe.asanteni

Agreed. Imeandikwa nduguyo akikosa msamehe hata saba mara sabini. Naungana nawe, kwa kuwa umetambua ni wapi ulipoangukia.
 
Mbwa(Mkapa)? Juha(Kikwete)? Baamedi(Makongolo)?

Kuna tofauti gani na mbwa wa ulaya??

Acha kuibwabwaja. Tangu umeingia hapa unalalama tu.

Angalia hapo juu kulia kuna button ya Log out ubofye kama huwezi kukaa jamvini bila kulalama.

wasted..

but still naku support kauli yako mkubwa bora ungezaliwa mbwa "according to u"
 
Chadema sio chama cha kuwanyonya wananchi bali ni cha ukombozi tia akilini.
 
broda mbona muoga hivi au mgeni humu .. kuwa na msimamo na kauli yako! .. ukiwa hivo kaka humu JF utaomba msamaha kila siku.. idea yako ya mchango ilikuwa nzuri.. wale waoga wa kuchangia lazima wa criticize hoja yako

Yale yaleee!!
 
Sometime JF kuna kuwa na mgongano wa mawazo usio wa lazima.nahisi watu wanakuwa critic kupita kiasi,tuheshimu mawazo ya watu na kama basi hayupo sawa basi tusaidiane kuwekana sawa kwa misingi ya kuheshimiana.
 
Nampenda sana dr. Slaa, naipenda chadema, naipenda tanzania natamani siku moja nchi yetu ikombolewe.asanteni

Hapo umezisuuza nyoyo zetu kiujumla........
 
Back
Top Bottom