Wana jf naombeni ushauri wenu kwa wale wenye uelewa wa hili !!

Wana jf naombeni ushauri wenu kwa wale wenye uelewa wa hili !!

sinande

Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
5
Reaction score
1
Mimi Dentist,nina ka degree kamoja na pia nina mwaka mmoja kazini nipo Arusha private hospital.Natamani sana kuingia jeshini lakini sijajua mshahara wa captain wa kuanzia ni tsh ngapi?

Na pia ushauri wa pili ninaomba kutoka kwenu ni kwamba nikisoma Master of Public Health,msc.molecular biology,msc.epidemilogy kwa jeshini kuna kitengo maalumu kinachohusiana na course hizo au ni course gani nikisoma kuna kitengo maalumu?.

je kuna tofauti kati ya mshahara wa bachelor degree na master degree kwa kozi nilizozitaja hapo juu?

NAWASILISHA,Thank you in advance!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

 
Mimi Dentist,nina ka degree kamoja na pia nina mwaka mmoja kazini nipo Arusha private hospital.Natamani sana kuingia jeshini lakini sijajua mshahara wa captain wa kuanzia ni tsh ngapi?

Na pia ushauri wa pili ninaomba kutoka kwenu ni kwamba nikisoma Master of Public Health,msc.molecular biology,msc.epidemilogy kwa jeshini kuna kitengo maalumu kinachohusiana na course hizo au ni course gani nikisoma kuna kitengo maalumu?.

je kuna tofauti kati ya mshahara wa bachelor degree na master degree kwa kozi nilizozitaja hapo juu?

NAWASILISHA,Thank you in advance!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

KUhusu jeshini sina information za kutosha ila kuhusu kozi ya kusoma ningekushauri upige hiyo MPH ni very marketable sio tu huko jeshini unakotaka kwenda but hata kwenye mashirika mengine, wanahitaji sana hao watu, mi mwenyewenataka kupiga hiyo kozi, kwa hapa bongo inapatikana muhimbili,kcmc,na bugando university,SUA wameanzisha lakini course content yao sio nzuri,yenyewe inaitwa MASTER OF PUBLIC HEALTH AND FOOD SAFETY,kiukweli haijakaa sawa imebase zaidi kwa wanyama na sio binadamu ingawa binadamu nae ni mnyama
 
Mimi Dentist,nina ka degree kamoja na pia nina mwaka mmoja kazini nipo Arusha private hospital.Natamani sana kuingia jeshini lakini sijajua mshahara wa captain wa kuanzia ni tsh ngapi?

Na pia ushauri wa pili ninaomba kutoka kwenu ni kwamba nikisoma Master of Public Health,msc.molecular biology,msc.epidemilogy kwa jeshini kuna kitengo maalumu kinachohusiana na course hizo au ni course gani nikisoma kuna kitengo maalumu?.

je kuna tofauti kati ya mshahara wa bachelor degree na master degree kwa kozi nilizozitaja hapo juu?

NAWASILISHA,Thank you in advance!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mkuuu, shukurani sana kwa ilo na kumbe una mawazo kama ya kwangu!!!!!!! big up!!! kcmc ni 9ml full course,what about Bugando! any information
 
Information kuhusu shahara inapatikana pale pale Jeshini.Maana nijuavyo sio Makapten wote wanapata same salary.Kuna tofauti kubwa sana ,na wanalipa according to your trade.
Kuna nafasi nyingi za dental coz wengi wana retire sasa.
Mimi Dentist,nina ka degree kamoja na pia nina mwaka mmoja kazini nipo Arusha private hospital.Natamani sana kuingia jeshini lakini sijajua mshahara wa captain wa kuanzia ni tsh ngapi?

Na pia ushauri wa pili ninaomba kutoka kwenu ni kwamba nikisoma Master of Public Health,msc.molecular biology,msc.epidemilogy kwa jeshini kuna kitengo maalumu kinachohusiana na course hizo au ni course gani nikisoma kuna kitengo maalumu?.

je kuna tofauti kati ya mshahara wa bachelor degree na master degree kwa kozi nilizozitaja hapo juu?

NAWASILISHA,Thank you in advance!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

 
Back
Top Bottom