Hebu fikiria mkuu, ndio ukute una ndugu yako halafu wote mmeunga kwenye lileeeeee Jukwaaa Kuleeeeeeeeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo hpaAkitokea ndugu au hata tunayetoka kijiji kimoja, natoka JF labda nisijue
Una kufaHebu fikiria mkuu, ndio ukute una ndugu yako halafu wote mmeunga kwenye lileeeeee Jukwaaa Kuleeeeeeeeeeee
Tupe na ID ya sister kama ulivyofanya kwa kaka yako.Mimi nipo. Kaka yangu yupo, mwanangu yupo anajiita mexico 1980. Sister yangu yupo..yaani tupo
Asante kwa kuchangiaRaha ya JF uwe kivyako vyako tu,mambo ya kujuana juana tupa kule fesibuku,
JF ujuane na mtu/watu ili iweje? kwanza jf ukianza haya mambo ya kujuana na watu unakua hauko huru!
Mkuu sijakutaja jina kua wewe ndiye uende fb bali nimeongea kwa ujumla na kulenga washiriki wote wa hii thd.Asante kwa kuchangia
Kuna lingine
Sipo face book wala instagram
Hebu fikiria mkuu, ndio ukute una ndugu yako halafu wote mmeunga kwenye lileeeeee Jukwaaa Kuleeeeeeeeeeee
Okay mkuu wangu ice breakerMkuu sijakutaja jina kua wewe ndiye uende fb bali nimeongea kwa ujumla na kulenga washiriki wote wa hii thd.
[emoji106]Raha ya JF uwe kivyako vyako tu,mambo ya kujuana juana tupa kule fesibuku,
JF ujuane na mtu/watu ili iweje? kwanza jf ukianza haya mambo ya kujuana na watu unakua hauko huru!
chief " nimetingwa " na madhila mbali mbali ya duniaHearly umeptea sana mkuu
Poa Kaka.Okay mkuu wangu ice breaker
Usijali mdogo wangu nadhani tunapishana majukwaani bana.Nipo nmekumiss naona hata haunsalmii now days
UhuRaha ya JF uwe kivyako vyako tu,mambo ya kujuana juana tupa kule fesibuku,
JF ujuane na mtu/watu ili iweje? kwanza jf ukianza haya mambo ya kujuana na watu unakua hauko huru!
Njoo kwenye hekalu langu umwoneHiyo kubwa koko yako isiyoweza hata kubweka
AhahaUjuru wa kutukana au ? Kujuana pia kuna faida zake kibiashara,mapenzi/kugegedana na urafii bila kusahau kusaidiana
Mimi nishasaidia rundo la msskini hapa Jf
HahahahaMwambie dingi ako aje Bunju nimwajiri kulisha mbwa wangu wa Kijerumani aache kuuza sura mtandaoni
Badala ya kubweka wanateneana mateNjoo kwenye hekalu langu umwone
Ana uwezo wa kukugeuza mboga nusu sekunde tu......kwa siku namlisha nyama kilo 10
....yule mwenye natege km spana ?Mimi na mwanangu tupo!