Wana jf ndugu

Raha ya JF uwe kivyako vyako tu,mambo ya kujuana juana tupa kule fesibuku,

JF ujuane na mtu/watu ili iweje? kwanza jf ukianza haya mambo ya kujuana na watu unakua hauko huru!
 
Raha ya JF uwe kivyako vyako tu,mambo ya kujuana juana tupa kule fesibuku,

JF ujuane na mtu/watu ili iweje? kwanza jf ukianza haya mambo ya kujuana na watu unakua hauko huru!
Asante kwa kuchangia

Kuna lingine

Sipo face book wala instagram
 
Raha ya JF uwe kivyako vyako tu,mambo ya kujuana juana tupa kule fesibuku,

JF ujuane na mtu/watu ili iweje? kwanza jf ukianza haya mambo ya kujuana na watu unakua hauko huru!
Uhu
ru wa kutukana au ?
Kujuana pia kuna faida zake kibiashara,mapenzi/kugegedana na urafiiki bila kusahau kusaidiana

Mimi nishasaidia rundo la msskini hapa Jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…