kifaransa wanakipata barabara lakini kingereza ni mambumbu ile mbaya.
Sasa huyu muanzisha thread anaona kingereza ndio ishu,angewauliza hao jamaa wako fluent kwa kiswahili au la.
Cha muhimu angalia uwezo wa mtu kufanya kazi,kwani alikuwa anaajiri walimu wa kingereza?
Mwalimu hajui kiingereza, anafundisha shule ya kata, chuo cha kata, kiingereza lazima kiwe tatizo. Babu yangu alikua mjeshi wakati wa ukoloni - KARs lakini anapeleka kiingereza hadi nashangaaga....... Anyway, hata hizo shule za akina St. Mary's wanajua kiingereza lkn kichwani hamna kitu.... Acha Tanzania tuendelee kupika bomu litakalolipuka siku yoyote...... Mfumo wetu wa elimu ni uchafu mzima, too politicized......
kwa nini hujui swahili is becoming the world language.
Angalia Media mbalimbali zinatangaza kiswahili nadhani hata software za computer zimeanza kuwa za kiswahili.wanyarwanda na warundi wanajifunza kiswahili
SHTUKIA!
Sasa tuchukulie unahokiongelea ni sahihi ok, umeitwa ktk interview na nimekuuliza swali nielezee kitu unachokipenda na unachokifahamu vizuri kabisa ktk waledi wako. Ukashindwa kueleza, sasa mimi nitajua je wewe unazifahamu principles? naomba unielimishe hapo.
Nafahamu hilo swali hata nikikuuliza kwa kiswahili sanifu pia utashindwa kulieza maana utakosa terms za kuunganisha.
sasa waulize darasani walifundishwa kifaransa na wanaweza kuelezea wanayoyajua kifaransa au wanjing'atang'ata kama hawa wetu apa!
sio kimatumbi,nataka nijibu kwa kiswahili ambayo ni lugha rasmi Tanzania.Safi kabisa mkuu, ila wewe chuoni umefunzwa kwa kiingereza, unataka interview ya kazi ujibu kwa kimatumbi!??
Naanza na wewe kwanza, kanuni za HR nikutunza siri, kwa sababu hr ni kudili na watu wa aina mbalimbali wakiwemo na hao pia. Ndio maana si kila mtu anaweza ku muintavyu mtu, iweje wewe ufanyie watu usaili then utoke uanze kutangazia watu. HR hayuko hivyo wewe mwenyewe uchunguzwe kwanza umepewaje kazi hiyo, Kitu kingine ndio maana ikawekwa intavyuu ili kupima uwezo wa watu na uelewa wao, kwa kitu kile kile ili upate ambae anaelewa zaidi na kutenda pia, wangekua wote wanalingana uelewa na kufam basi kusingekua na haja ya kuwa fanyia usaili, hata waswahili wanasema kwenye safari ya mamba hata kenge wapo, sasa ungejuaje yupi ni bora kama hao wasingekuwepo? acha kua unatoa siri za watu na za ofisi sio poa ili na wewe uwe bora:blabla::blabla:.
kinacholalamikiwa ni kushindwa kujielezea kwa kingereza na sio kuelezea utaalamu walionao.kama wasahiliwa walishindwa kuongea kingereza angewapa wajieleze kwa lugha wanayoiweza ilimradi atambue weledi waliokua nao wangeshindwa hapa ndio tungehitimisha kwamba hawajui kazi.
Kama anataka waongeaji wazuri wa kingereza nadhani tunafahamu pa kuwapata -aende england sio Tz wala Ke.
mlichokuwa mnaangalia ni uelewa wa hao uliowainterview wa kazi wanayoiombea au ni kiingereza chao na je kiingereza kilikuwa ni moja ya qualification za kuomba kazi katika kampuni yako na je wanaenda kufanya kazi ya kuongea kiingerez aau taaluma yao
Mkuu hapo umenena jambo, kwani ni lazima tukubali mapungufu tuliyonayo wa tz.Kuna njia mbili tu za kuweza kujua kama mtu anaweza fanya kazi fulani; 1. Kumuuliza aeleze ataifanya vipi na 2. Kumpa kazi aifanye. Mara nyingi kwenye usaili tunatumia njia ya kwanza yaani "mtu ajieleze/auze skills zake". Mara zote kwa wahitimu wa elimu ya juu kiingereza hutumika kama lugha ya usaili. Kuna sababu mbalimbali zilizochangia kutumika kwa hii lugha katika usaili.
Kwa kweli ni kama mtu hawezi kujieleza inakuwa ngumu kufanhamu anajua kiasi gani. Bila kujieleza utajuaje kuwa mtu anajua anachokiomba? Mtu amaomba kazi ya ualimu, uhasibu, uhakimu, n.k lazima aeleze kwa maneno jinzi atakavyofanya kazi. Tukumbuke pia kuwa hawa watu wataongea na watu tena toka sehemu mbalimbali duniani. Je akishapata ajira itakuweje? Itakuwa kama yule jamaa yetu moja ambae kamaliza shule na kupata ajira lakini akiona mzungu anakuja ofisini anaaga.
Hii ni "changamoto". Binafsi sioni sababu za kukataa ukweli.Tukubali; kuukubali udhaifu ni kitu muhimu sana katika kutatua tatizo. Tukishaukubali udhaifu wetu tujadili/tuamue tubadilike vipi? Vinginevyo tuendelee kutegemea kazi za deiwaka.
mkuu tembelea hapa arusha AICC ukutane na wanyarwanda,wasenegali,wacameroun e t c walivyojazana.hawajui kingereza!
kifaransa wanakipata barabara lakini kingereza ni mambumbu ile mbaya.
Sasa huyu muanzisha thread anaona kingereza ndio ishu,angewauliza hao jamaa wako fluent kwa kiswahili au la.
Cha muhimu angalia uwezo wa mtu kufanya kazi,kwani alikuwa anaajiri walimu wa kingereza?
Kaama dakika ishirini zilizopita nilikuwa naendesha usahili kwa vijana ambao wamemeliza vyuo vikuu amini usiamini kati ya vijana hao kumi walishindwa kabisa kufanya conversation ya kingereza japo kwa dakika mbili.
Baba yangu ameishia la nne lakini anaongea kingereza standard na kinachoeleweka ila vijana hawa wana utasikia its likee..... its like..... yani ...... i mean......what am trying to say is?
Ika yaani anababaika mpaka anatia huruma, ni kwamba siku hizi hawafundishwi kingereza shuleni au ndo mkakati wa kufanya kiswahili lugha ya kimataifa umeanza?
Au basi elimu wanaiacha darasani wanatoka na vyeti?
Tatizo liko wapi jamani?
Au wizara ndo imekosa sera kiasi hiki?
hopeless kabisa kwa hiyo ulitaka pasiwepo na wakalimani?kwa hiyo ukitembelewa na wachina utalazimisha kuongea kingereza hata kama hamuelewani.huwezi kuwekwa pale hata kama una taaluma ya kitu fulani lakini eti Kiingereza huwezi! Sasa ukitembelewa na wageni kutoka nje tuende kuazima tena makarimani? Wewe vipi wewe!!!