Kabisa lakini pamoja na hayo nondo zilikuwa ni sensible na zilikuwa zina maana sana kwa mstakabali wa nchi na utoto ulikuwa mdogo sana.Mkuu namshukuru Mungu bado nadunda. Kule nondo zilikuwa kali sana, naona kipindi kile mshua alikuwa anatuachia tujidai.