Wana JF tuliopo TipTop muda huu tuonane

Wana JF tuliopo TipTop muda huu tuonane

Ni fantasies tu.. Hakuna faida yoyote ila mtu anakua na ile furaha ndani yake kutokana na kufatiliwa mno kupitia threads za vituko anazoweka hata kama atakua na anonymous ID.. It's a personality thing! Kuna bwana mmoja alishawekaga humu uzi unaozungumzia personality mbali mbali nadhani nikiuona ntauibua kwa faida ya wengine.
Sure
 
Ni fantasies tu.. Hakuna faida yoyote ila mtu anakua na ile furaha ndani yake kutokana na kufatiliwa mno kupitia threads za vituko anazoweka hata kama atakua na anonymous ID.. It's a personality thing! Kuna bwana mmoja alishawekaga humu uzi unaozungumzia personality mbali mbali nadhani nikiuona ntauibua kwa faida ya wengine.
Safiii

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo outfit sijui kuvaa ila duh! hapana mzee, Jamaa kweli janja janja, koti la suti na mzura plus track niko confused asee nani anavaa hivyo.

PS hiyo ID yake maana ake ndio hahaha, kinyamkela ndio zile evil entity
 
Hiyo outfit sijui kuvaa ila duh! hapana mzee, Jamaa kweli janja janja, koti ka suti na mzura plus track niko confused asee nani anavaa hivyo.

PS hiyo ID yake maana ake ndio hahaha, kinyamkela ndio zile evil entity
Kinyamkela nini maana yake?
 
Back
Top Bottom