Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
Alikufa akiitaja Chadema na watanzania. Sasa sema alikuwa wapi! Maana si unajua alishaikana CCM kwa kusema si baba yake wala mama yake?hivi wakati nyerere anakufa alikuwa ni ccm au chadema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikufa akiitaja Chadema na watanzania. Sasa sema alikuwa wapi! Maana si unajua alishaikana CCM kwa kusema si baba yake wala mama yake?hivi wakati nyerere anakufa alikuwa ni ccm au chadema?
Ili tuungane inabidi Chadema kwanza wajitoe katika sera za udini,ukabila na ujimbo ndio tuanza mapambano ya kweli kuing'oa ccm.
alikufa akiitaja chadema na watanzania. Sasa sema alikuwa wapi! Maana si unajua alishaikana ccm kwa kusema si baba yake wala mama yake?
hebu nipeni tathmini ya malipo pamoja na marupurupu ya diwani nione kama naweza shawishika kushiriki, nipo kikazi zaidi :wave: ........................
sasa tufanye nini?nchi hii ilitawaliwa miaka ipatayo 60 na wakoloni,wakoloni ni nini mfano wake ni ccm ni watu waliotawala miundombinu na democrasia ya watanzania lakini mnamo 9th dec 1961 yote yalipita. Achana na hiyo south africa walitawaliwa na makaburu yapata miaka 300 ila 1994 waliandika historia mpya, 65years baada ya martin luther kuanzisha black revolution movement 2008 barack obama became the 1st black man to manifest the revolution. I tell you my brother dr. Slaa is our mandela, our luther king. Dr. Slaa ameonyesha kuwa na uchungu wa hii nchi. A true patriot na kama wewe ni mfuatiliaji mzuri ni kwa sababu yake vijana wengi wamejitoa kuandikisha kupiga kura, na wameongeza idadi kubwa ya voice of revolution bungeni. Beautiful tanzania is coming, but it begins with you. Usimuangalie slaa angalia tanzania mpya. Slaa alikuwa haubiri kwenda kujaza parking ya ikulu magari ya ujerumani slaa alikuwa anaangalia kwa mtazamo wa mao (ruler wa china) kama china iliwezekana kwa nini hapa ishindikane? Wachina walikuwa masikini kama sisi ila iliwachukua miaka 30 kuhama kutoka poor developing country to kati ya mataifa ya g7 ambayo ndo matajiri zaidi duniani. Dr. Slaa alikuwa anatupa mtazamo wa namna ya kutengeneza maisha bora ya kweli. Usikute na yeye angeenda kujaza tumbo lake ikulu lakini at least alionyesha kuwa na mtazamo ambao wewe kwa bahati mbaya huuoni. Anza kubadilika, kwa sisi tuliompigia kura dr. Slaa hatukumpigia yeye individually au chadema kama chama bali tulipigia kura mitazamo ya ke na uchungu wake kwa nchi hii. Ambao hata wewe unatakiwa badala ya kuwaza kukimbia nchi na kwenda kujilipua nje utafakari namna ya kubadilisha mtazamo na kuanza kujenga nchi upya. Kumbuka hii ndo chi pekee aliyokupa mwenyezi mungu kuwa nchi yako bila kujilipua. Tengeneza kesho acha kuwa myopic.
Tathmini yangu fupi ya mwenendo wa uchaguzi inaonesha kuwa kila sehemu ambayo Chadema iliweka mgombea makini, msomi, Kijana na mpiganaji wa ukweli katika Ngazi za Ubunge na Udiwani Chadema iliongoza kwa kura.
Dr Slaa alipata kura kiduchu sana maeneo ambayo chadema iliweka mgombea dhaifu ngazi ya Ubunge
Hali ilikuwa mbaya zaidi maeneo ambayo Chadema iliweka wagombea dhaifu wa Ubunge na Udiwani ni kukosa timu sahihi ya kampeni.
Wagombea Ubunge kama Thomas Nyimbo, Shitambala, Regia nk licha ya uwezo wao lakini katika baadhi ya kata waliangushwa na wagombea wasiouzika na wasiona hoja wa Udiwani.
Baada ya kutafakari kwa kina nimegundua kuwa sisi wana JF tunahusika kwani wengi wetu tungeweza kujitokeza kwenda kugombea na kuongeza kura kwa Chadema. badala ya kushabikia humu JF
Ni wakati wa kuamua sasa, Mshawishi na mwenzako tujitokeze. tutengeneze network, tufanye training za stage performance za kutosha, Tuandae wagombea serekali za mitaa na Udiwani kwenye kata zetu ili uchaguzi ujao tuweze kusaidia harakati.
Suala la kuiangamiza CCM haiwezi kufanya na Mbowe peke yake au Dr Slaa pekee, ni kazi yetu sote hasa vijana
Hima tuamke, tushikamane, tutambue wajibu wetu kwa Taifa hili
Mimi nimetangaza nia Isimani Iringa na naanza maandalizi mapemaaaaaa
2015 peopleeeeeeeezzzzzzzzz