Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
Kwanza kabisa, nakutakia afya njema kama ya kwangu..
Bila kinyongo kabisa naomba niweke hapa kero yangu juu ya waandishi baadhi wa hoja hapa jf
Kama utaguswa tafadhali usikasirike wala kutukana, ni kitu ambacho kinafanywa na watu wengi, hata hvyo si kero kwa wengi/wote.
Ruksa kutoa kero yako pia ili tujifunze!
Kero yangu nambari # 1
ni habari zinazoandikwa kwa mfumo wa 'kiswanglish'
mfano:
~Before we met, nilikuwa interested sana, bt the more we got used to each other basi nilimwona wa kawaida!
~When i was fired nilipata conection kwenye institution kubwa hapa tz[emoji16][emoji16]
(ni mifano)
Binafsi napenda kuona uzi ulioandikwa Kwa kiingereza a-z
Ama kiswahili a-z
Inapendeza sana
Nina kero 3, bado 2
Bila kinyongo kabisa naomba niweke hapa kero yangu juu ya waandishi baadhi wa hoja hapa jf
Kama utaguswa tafadhali usikasirike wala kutukana, ni kitu ambacho kinafanywa na watu wengi, hata hvyo si kero kwa wengi/wote.
Ruksa kutoa kero yako pia ili tujifunze!
Kero yangu nambari # 1
ni habari zinazoandikwa kwa mfumo wa 'kiswanglish'
mfano:
~Before we met, nilikuwa interested sana, bt the more we got used to each other basi nilimwona wa kawaida!
~When i was fired nilipata conection kwenye institution kubwa hapa tz[emoji16][emoji16]
(ni mifano)
Binafsi napenda kuona uzi ulioandikwa Kwa kiingereza a-z
Ama kiswahili a-z
Inapendeza sana
Nina kero 3, bado 2