Sikujua kama hapa JF tuna mwalikilishi anae act as middleman btw JF na serikali, hii ni elimu mpya nimeipata leo.
Labda Mods or Invisible atatuwekea wazi ni lini/kikao kipi kilimchagua/mteua mwakilishi huyu ili tupate mwanga wa kuelewa vizuri, nachelea na na reserve my comments mpaka nitakapo pata mwanga juu ya hili. Isije ikiwa tunadili na self-proclaimed middleman na haya mambo ya u double agent yana madhara makubwa sana, mtu anataka apendeze kote kote nina smell tunakokwenda ni kubaya.
I would hope na ningeupa uzito ujumbe huu kama ungetoka kwa vijana wetu waliokuwa wanashikiliwa kule kwani ni wao ndio waliokuwa mikononi mwa "watawala" otherwise any attempt ya ku capitalise on this saga by huyu "self-proclaimed" mjumbe ni wa kupuuzwa tu....
Kama wana lolote wanaona linachupa mipaka Invisible amefanunua wazi kuwa milango yake ipo wazi na wapo tayari kulishughulikia. Sasa hawa wanaojitafutia umaarufu sijui "ujumbe mzito kutoka serikali" wameupata wapi watuambie ni nani huyo huku serikali "aliemtuma?" kwani serikali ina mkono mrefu hata mwenyekiti wa mtaa nae ni serikali.
JF is bigger than kuokota habari mitaani na kuzi sensationalise kwa vichwa vya habari vikubwa, tuna chambua pumba na mchele hapa.
Watu wengine bwana sijui tuwaweke kwenye fungu gani yaani ovyoooo...