<br />kwanza uko kwenye ndoa au <br />
maana isije ikawa ni wa kuiba halafu unauliza muda<br />
kama uko kwenye ndoa haya utapata maushauri ila any time is tea time
kwanza uko kwenye ndoa au
maana isije ikawa ni wa kuiba halafu unauliza muda
kama uko kwenye ndoa haya utapata maushauri ila any time is tea time
Bro upo? Umepotea kweli mtu wangu! Huyu jamaa umemjibu vyema. inaonekana anaiba kwani mandhari ya swali lake tu linaonesha experience hakuna.
<br />
<br />
Mr. Rocky mambo?
walio wengi wezi ndo maana haya maswali yanazuka, mtu atamuulizaje muda wa kumdonoa?
Wakati wa kuanza kulala. Then usiku wa manane mzee akishtuka kwenye usingizi, halafu na ile asubuhi mnapoaamka.
jamani hii formular hata mimi niliadisiwa.
Mu wazima wanajf wenzangu. Nimekuwa naona watu wakibishana eti ni wakati gani wa kula malavilavi wakati wa usiku. Je, ni wakati wa kulala baada ya chakula, usiku wa manane au alfajiri na kibaridi kile? And why?
Wakati wa kuanza kulala. Then usiku wa manane mzee akishtuka kwenye usingizi, halafu na ile asubuhi mnapoaamka.
jamani hii formular hata mimi niliadisiwa.
Umefanya vyombo vyangu viamke fasta kama vile.......nawe
<br />Mzima kaka issue niaje<br />
wezi kabisa hasa maana wanatafuta majibu ya mu9da mzuri wa kula ili wawawahishe wezi wenzao
<br />
<br />
haswaaa,