Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.

Maxence Melo

JF Founder
JF Staff
Joined
Feb 10, 2006
Posts
4,324
Reaction score
13,967
Wakuu,

Nipo Arusha sasa hivi na crew ya members wa JF toka Arusha na Dar. Maandalizi ni mazuri sana na maswali mengi yameulizwa na kujibiwa live. Ndo tunapata viburudisho baada ya session ya maswali na majibu ya takribani masaa matatu.

Ni jambo la kufurahisha sana kukutana na watu zaidi ya 20, kwa wakati mmoja ambao hamkuwa mnafahamiana kwa sura.

Kilichonifurahisha zaidi kila mmoja katoa maoni yake na yakachangiwa na wenzake, bahati mbaya nitawaacha kwani nipo kwenye dozi, lakini wana JF wa Arusha nawashukuru kwa moyo wenu huu!
 
shukrani kubwa sana wakuu,inabidi umuachie paka jimmy aendelee ku-update matukio zaidi,hili tukio muhimu sana inabidi liwekwe live.
 
Wow,

Max... first of all let me congratulate you for keeping your promised, i read sometimes ago that you would be available for Arusha trip. I do also congratulate you for sharing your appreciation for the team you have met... I have had a privilege to meet a number of JF and i think seeing is better than reading, its a team of great people

Kula raha mwana, nakuonea wivu lakini ndo hivyo tena mama chanja nae anahitaji nafasi this festive season

Pole kwa dozi na ombi kwa wanaJF, next step iwe kupima afya na kujiunga na klabu za michezo, who knows, one day we may have our national and international bonanza

I have a dream
 
Nawatakia kila la heri...Nawatamani.

Salimia wote,PakaJimmy,Pretta,Wiselady,MJ1,FL,Matty,Teamo,Kaizer na wengineo...


Uko kwenye dozi,are you sick,ndio maana ukatuzimia simu......
 
Mkuu,

Japo nilichelewa kufika lakini kina PJ walienda mbugani kwanza kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini na ilikuwa ni furaha tupu.



Sasa wakati wa kula mbuzi choma.

 


he he,and maybe our national government.:A S crown-1:god bless
 
Nawatakia kila la heri...Nawatamani.

Salimia wote,PakaJimmy,Pretta,Wiselady,MJ1,FL,Matty,Teamo,Kaizer na wengineo...

Uko kwenye dozi,are you sick,ndio maana ukatuzimia simu......
Dada Regia,

Hata hivi naandika JF ni kwa makosa, Dr. kanizuia matumizi ya computer na simu sana lakini kwa issue hii niliamua walau niungane na wakuu hawa kuwaonyesha kuwa tupo pamoja katika hili.

Tatizo nitalazimika kuwaacha nikatimize masharti ya Dr.
 
Mkuu,

Japo nilichelewa kufika lakini kina PJ walienda mbugani kwanza kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini na ilikuwa ni furaha tupu.



Sasa wakati wa kula mbuzi choma.

Dddaaaaaayyymmmm..... :thumb:

Enjoy while you can buddy... as for me its:A S-cry:... i have missed a great day
 

It is a great moment out there!!! Duuh, ina maana watu huko mnakula bata eeh...hongereni sana. ngoja na sisi ambao tuko vichakani tutoke tuje huko...am joking guys. I wish u all the best wanaJF mlioko huko!!!
 

Pole sana kwa kuumwa na hongera kwa kujikaza na kufika Arusha.Hata ukiwaacha sasa sio mbaya kwa kuwa umefika.Na mwanangu wa hiyari Maureen yupo?
 
....Hata hivi naandika JF ni kwa makosa, Dr. kanizuia matumizi ya computer na simu sana lakini kwa issue hii niliamua walau niungane na wakuu hawa kuwaonyesha kuwa tupo pamoja katika hili.

Tatizo nitalazimika kuwaacha nikatimize masharti ya Dr.
Please stick to the doctor's prescription though your excited .
BTW, goodluck and have nice time there with our brothers and sisters.

 
Please stick to the doctor's prescription though your excited .
BTW, goodluck and have nice time there with our brothers and sisters.

mkuu "jicho" acha bana max atupe live from arusha bana, gemu ya asenali na chesi haiwezi fikia utamu wa jamaa wa arusha
 
Mkuu M. Melo
Pole kwa kuumwa, Mola akujaalie uponyaji. Pili hongera kwa kutekeleza ahadi yako ya kuwa Arusha. Tatu, hongereni crew nzima mlioko hapo, binafsi napamis sana
 
mkuu "jicho" acha bana max atupe live from arusha bana, gemu ya asenali na chesi haiwezi fikia utamu wa jamaa wa arusha

Acid mwache Max akampumzike.Kutekeleza masharti ya dakatari ni muhimu,afya yake ya baadaye ni muhimu kuliko taarifa ya leo.
BTW wapo hapa kina PJ watatupa habari.,au humwuoni PJ nini?He is hia hia,now now...
 
Haya ndugu yangu Max, siwezi acha ushauri na busara za moderetor 2 na regia zipite

Kapumzike kesho utupe habari zaidi, maana najua hang-overs zitakua bwerere

LOL:bolt:
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…