Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 141
Umeona eee!! Na ndiyo maana ulichukua yangu mapema bila kunipa yako.
e bwana nitafuttie kimey na Teamo mj1 nawamic kinomi nomi.
Eti anaumwa na kiuno tangu arudi safari.me sijaelewa hicho kiuno chake imekuwaje maana wote tulikuwa safari na viuno vyetu havina tabu kabisa
Nshasema acheni uchokozi
Habari zenyu banaaa! Mi bado nna hangover ya arusha jamani jamani!
we derimto mbona unasema usiyokuwa na hakika nayo?we huioni rangi ya saharavoice ilivyodifa na yako?ila PJ ndo anarangi nzuri tatizo ni mweusi mpaka haonekani
Sema FL,umepona uchovu eeh, aisee umeona, PJ dawa ya roho haswaa,halafu huyu Derimto bana anakodoa sana anaona hadi dental structure za watu bana.
Nipo kiongozi jana tulikua na Dena Amsi akatuchekesha sana.Niko poa mtu wangu umejificha?
Nipo kiongozi jana tulikua na Dena Amsi akatuchekesha sana.
Sema nadadavua maukweli au nyie mnataka kuchakachua?
Hapana chakachua hapa, Ila mkuu hakuna njia ya kupunguza au kuibadilisha kabisa hiyo rangi yako ifanane fanane na ile ya PJ kidogo.
Derimto mbona unanichokoza lakini? wakati uisema una moyo wa kike?? Nauhofia moyo yangu bana usijeuvunja bure labda FL akawithdraw ile thread yake bana.
Mzee wa MEMKWA ......................naomba nipate lau nafasi nami nisafiri tena lol nimenogewa.
BAbu Bigirita, mzee wa tekniks maana duh njia nzima alihakikisha anamteka FL kwa malavedave........mara oh FL I love the whole of you, mara oh tuchimbe dawa duh........................
Ama kweli weupe unawapenda lakini weusi ni dawa ya roho
</p>Derimto mbona unanichokoza lakini? wakati uisema una moyo wa kike?? Nauhofia moyo yangu bana usijeuvunja bure labda FL akawithdraw ile thread yake bana.</p>
<p> </p>
<p>Mzee wa MEMKWA ......................naomba nipate lau nafasi nami nisafiri tena lol nimenogewa.</p>
<p> </p>
<p>BAbu Bigirita, mzee wa tekniks maana duh njia nzima alihakikisha anamteka FL kwa malavedave........mara oh FL I love the whole of you, mara oh tuchimbe dawa duh........................</p>
<p>Ama kweli weupe unawapenda lakini weusi ni dawa ya roho
</p>Nakuja ngoja kwanza nakula babe!
Hapana chakachua hapa, Ila mkuu hakuna njia ya kupunguza au kuibadilisha kabisa hiyo rangi yako ifanane fanane na ile ya PJ kidogo.
</p>si wenyewe mmemwona jinsi alivyo heartbreaker eeh? sijui LD unamtumia msg za nn na kum'dipudipu' kila dakika. mi unaniboa wewe!
</p><font size="3">Da na Dar get together ni lini jamani? We need to meet please, since we are legally registered, au watatutupia mabomu wakati siku hizi tu wapole hapa??? I really love and won't stop crying for our former Jambo Furum and early JF???!!!! What happened then???</font>