Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
yaani DC nitafute mcumba kama tangazo la biashara jamani?wengi waweza kuwa na shida ila sio kama za kwangu.hata hivyo hii sio ya kujadiliwa bado ipo chini ya kapeti asije huyu firstman wangu hapa akajua mppango yangu ya mwakani akagoma kula

Babu anakutakia kila la heri kwa njia yoyote utakayotumia ili mradi roho yake upate raha.

Penye nia pana njia.. Na kwa kuwa umeweka malengo mapema basi sisi tunaweza kukusaidia humu njiani au wakati wa kufanya tathmini.

Ubarikiwe sana na kila la heri katika kuvuka geti la 2010 na kuingia kwenye kasri mpya ya 2011.

Babu DC
 
FL,

Hapo nadhani umezidisha dozi,

Babu DC
babu unatakiwa kujua mapema na kujikinga.sio kuweka imani then maumivu kibao.hawa viumbe wavaa suruali hawaaminiki kabisa yaani baba yao mmoja ila mama tofauti tu
 
Mh mkono wa Derimto nimeupenda mzurii nauombeni.

Wachaneni na ma'heartbreaker hao...muulize FL kuw PJ yukoje...
Nakwambia FL mwenyewe alianza kuniuliza eti..'PJ uko married?'...nikamwambia..of coz..why not?'
 
namtafuta WISELADY hapa jamvini wajameni......!

:A S crown-1::A S crown-1:
 
Wachaneni na ma'heartbreaker hao...muulize FL kuw PJ yukoje...
Nakwambia FL mwenyewe alianza kuniuliza eti..'PJ uko married?'...nikamwambia..of coz..why not?'

Hahaaa ya kweli hayo Fl? Ila PJ hujagundua ma heartbreaker ndo hua wanagombaniwa? Hebu weka na we mkono wako tuuone.
 
namtafuta WISELADY hapa jamvini wajameni......!

:A S crown-1::A S crown-1:
wASILIANA NA Kimey!...
Nilimwona WL jana kwenye Saibaba YA KUJA dar!, na muda wote walikuwa wanachat kwa simu.(nia yangu si kumuumiza Saharavoice)
 
wASILIANA NA Kimey!...
Nilimwona WL jana kwenye Saibaba YA KUJA dar!, na muda wote walikuwa wanachat kwa simu.(nia yangu si kumuumiza Saharavoice)
halaf mkuu napenda kutoa malalamiko yangu ya dhati kabisa kwako mkuu wangu!

dogo ''finest'' hakunitendea haki kabisa.hakunipa nafasi ya kuyafurahia maisha nikiwa arusha.
mkuu katika hili NILIONEWA SANA,NILINYANYASIKA SANA
 
babu unatakiwa kujua mapema na kujikinga.sio kuweka imani then maumivu kibao.hawa viumbe wavaa suruali hawaaminiki kabisa yaani baba yao mmoja ila mama tofauti tu

Ukijenga ukuta usio na milango ujue kuwa hata wewe mwenyewe hutaweza kutoka. Ni bora ujenge daraja mdogo wangu!
 
halaf mkuu napenda kutoa malalamiko yangu ya dhati kabisa kwako mkuu wangu!

dogo ''finest'' hakunitendea haki kabisa.hakunipa nafasi ya kuyafurahia maisha nikiwa arusha.
mkuu katika hili NILIONEWA SANA,NILINYANYASIKA SANA

Nakuhuzunishswa sana...but what was the wish which you had to grant to succumb to such humiliation?
 
halaf mkuu napenda kutoa malalamiko yangu ya dhati kabisa kwako mkuu wangu!

dogo ''finest'' hakunitendea haki kabisa.hakunipa nafasi ya kuyafurahia maisha nikiwa arusha.
mkuu katika hili NILIONEWA SANA,NILINYANYASIKA SANA
Shida ilikuwa nini...Loner?
Ndio maana nimewatumieni contacts zote...sasa na wewe fight kivyako!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…