PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,199
- 8,761
Mambo ya A-tOWN, AU hayo ni ya mpango-MKAKATI wa MEMKWA?Ivi hii hangover ni mimi tu ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya A-tOWN, AU hayo ni ya mpango-MKAKATI wa MEMKWA?Ivi hii hangover ni mimi tu ama?
yaani DC nitafute mcumba kama tangazo la biashara jamani?wengi waweza kuwa na shida ila sio kama za kwangu.hata hivyo hii sio ya kujadiliwa bado ipo chini ya kapeti asije huyu firstman wangu hapa akajua mppango yangu ya mwakani akagoma kula
..NEVER TRUST A MAN EVEN A DEAD ONE........!
babu unatakiwa kujua mapema na kujikinga.sio kuweka imani then maumivu kibao.hawa viumbe wavaa suruali hawaaminiki kabisa yaani baba yao mmoja ila mama tofauti tuFL,
Hapo nadhani umezidisha dozi,
Babu DC
Mkuu,
Approved.
![]()
We thank you for recognizing our unity and encouraging us!...
Mh mkono wa Derimto nimeupenda mzurii nauombeni.
Wachaneni na ma'heartbreaker hao...muulize FL kuw PJ yukoje...
Nakwambia FL mwenyewe alianza kuniuliza eti..'PJ uko married?'...nikamwambia..of coz..why not?'
Wachaneni na ma'heartbreaker hao...muulize FL kuw PJ yukoje...
Nakwambia FL mwenyewe alianza kuniuliza eti..'PJ uko married?'...nikamwambia..of coz..why not?'
Ivi hii hangover ni mimi tu ama?
wASILIANA NA Kimey!...namtafuta WISELADY hapa jamvini wajameni......!
:A S crown-1::A S crown-1:
halaf mkuu napenda kutoa malalamiko yangu ya dhati kabisa kwako mkuu wangu!wASILIANA NA Kimey!...
Nilimwona WL jana kwenye Saibaba YA KUJA dar!, na muda wote walikuwa wanachat kwa simu.(nia yangu si kumuumiza Saharavoice)
babu unatakiwa kujua mapema na kujikinga.sio kuweka imani then maumivu kibao.hawa viumbe wavaa suruali hawaaminiki kabisa yaani baba yao mmoja ila mama tofauti tu
halaf mkuu napenda kutoa malalamiko yangu ya dhati kabisa kwako mkuu wangu!
dogo ''finest'' hakunitendea haki kabisa.hakunipa nafasi ya kuyafurahia maisha nikiwa arusha.
mkuu katika hili NILIONEWA SANA,NILINYANYASIKA SANA
Shida ilikuwa nini...Loner?halaf mkuu napenda kutoa malalamiko yangu ya dhati kabisa kwako mkuu wangu!
dogo ''finest'' hakunitendea haki kabisa.hakunipa nafasi ya kuyafurahia maisha nikiwa arusha.
mkuu katika hili NILIONEWA SANA,NILINYANYASIKA SANA
namtafuta WISELADY hapa jamvini wajameni......!
:A S crown-1::A S crown-1:
here i am,,,nasubiri unfinished to be implemented
wASILIANA NA Kimey!...
Nilimwona WL jana kwenye Saibaba YA KUJA dar!, na muda wote walikuwa wanachat kwa simu.(nia yangu si kumuumiza Saharavoice)
😛ray2::kiss::kiss::ranger::ranger::ranger: