Habari yako sauti ya jangwa! Kua mpole tu utampata FL soon..Nitashuka kama mwewe anytime from now. ukinionea FL nina ujumbe wake muhimu
Usiogope mamito hao makabaila nikiwepo hawata fanya chochote nipo kukulinda! Karibu u join the friends of JJ.
nitashuka kama mwewe anytime from now. Ukinionea fl nina ujumbe wake muhimu
so,,,,need i say more??obuntu uko wapi jamani?
Closer...closer!............vere closerMkuu the st. is looking for ya....looks like a probe committee is needed....
Obuntu wa nn tena hapa! Mbona umeshuka mlimani mapema?so,,,,need i say more??obuntu uko wapi jamani?
Obuntu wa nn tena hapa! Mbona umeshuka mlimani mapema?
Twende zetu basi kaizar na ZD wanatusubiri!mi nikienda mlimani we unatoa mialiko,,,nimerudi kukuchukua,,,finest kashindwa kazi
mi nikienda mlimani we unatoa mialiko,,,nimerudi kukuchukua,,,finest kashindwa kazi
mwambie alete grants ya lita moja ndo tuongee bana!utapotea njia lazima uonane na wahusika kwanza
mwambie alete grants ya lita moja ndo tuongee bana!
niaje arifu mambo yapo wawiwooo? Nami ni mmoko wa chali wa rchuga nawapa gwara machali wangu mi nipo ful haina kwikwi.
Heri ya mwaka mpya watu wangu
Hodi humu tena, namtafuta Firstlady
Jaribu kumtafuta Dar airtport
habari yake freetown.............duh, umepotea mkuu!
nikupe kazi ya kunilindia wiselady?.......nita-define KULINDA baadae, maana watu wengine mkiambiwa mlinde mnafanya na ambayo hayahusiani na ulinzi
Jaribu kumtafuta Dar airtport
khe..........!we FT wakantafutie airport kwani me ndegeJaribu kumtafuta Dar airtport
Karibu mkubwa, unatumia kinywaji gani? dadii imeisha lakini, tuna mbege ya Kibosho tu.Niaje arifu mambo yapo wawiwooo? Nami ni mmoko wa chali wa Rchuga nawapa gwara machali wangu mi nipo ful haina kwikwi.
Heri ya mwaka mpya watu wangu