Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Niaje arifu mambo yapo wawiwooo? Nami ni mmoko wa chali wa Rchuga nawapa gwara machali wangu mi nipo ful haina kwikwi.
Heri ya mwaka mpya watu wangu
 
he... hapa niko arusha au dar??

Hivi first lady ndio yupi?
 
habari yake freetown.............duh, umepotea mkuu!
nikupe kazi ya kunilindia wiselady?.......nita-define KULINDA baadae, maana watu wengine mkiambiwa mlinde mnafanya na ambayo hayahusiani na ulinzi

Usikonde, si unajua nilivyo makini kwa kazi hiyo.
 
Niaje arifu mambo yapo wawiwooo? Nami ni mmoko wa chali wa Rchuga nawapa gwara machali wangu mi nipo ful haina kwikwi.
Heri ya mwaka mpya watu wangu
Karibu mkubwa, unatumia kinywaji gani? dadii imeisha lakini, tuna mbege ya Kibosho tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom