Wamekuchukulia taito zako???? Wabaya sana bana....
Hommie na hapa napo una maslai! Kweli we ni kabaila..
Nipo na Smiles!!!Hiyo Posted Via Mobile inamaanisha nini? (Uko na Wiselady au Firstlady?):music:
Nipo na Smiles!!!
(Babu ataendelea kuwa babu, hao wengine magumashi. Eti Finest naye babu lol)
Nipo na Smiles!!!
No no no...just keep the smiles.......a smile can never be surpassed by a mere trouble....:hat:
(Sijui kwa nini, ila naona unapora madaraka, lol)
(Huyo hana madhara, ni mwanafamilia yetu, yuko kikazi. Smiles amezingirwa kila kona mpaka kieleweke)
(Madhara anayo bana...ila yanavumilika...lol)
(Amin Amin nakuambia, ni heri madhara ya mwenyekiti kuliko matendo ya mabepari, mabwanyenye na makabaila kama bigirita na kimey)
Mnashtakiwa kwa kosa la kuharibu macho ya mjukuu orijino........... kesi iko mahakama kuu.(c.r.a.p)
Aisee umewa😛hone: machalii wako wa arusha? Jana ilikua timbwilitimbwili...isije ikawa wame:rip:
Mnashtakiwa kwa kosa la kuharibu macho ya mjukuu orijino........... kesi iko mahakama kuu.
Surmons zenu ziko njiani mtazipata kabla ya saa sita mchana.
Orait orait mapigo ya babu au ten sauzend?Orait....lemme check with Wise the Lady...yale mapigo ya babu bana.
Orait orait mapigo ya babu au ten sauzend?
Najisikia kukumisi mjukuu mteule.
Oyoooo unataka kuchakachuaa!Unataka nyoonyooooo????
Mnashtakiwa kwa kosa la kuharibu macho ya mjukuu orijino........... kesi iko mahakama kuu.
Surmons zenu ziko njiani mtazipata kabla ya saa sita mchana.
...........................Nshafungua kesi.......salamu hizi pitishia kwa lawyers please.
Machalii wa JF Arusha Wing............poleni kwa kashkash. Tuko pamoja
Heheeee....
Umesahau babu ana apetait na kesi kama mtikila?:A S 8:
.....Aisee mnanipa tabu sana kusoma hayo maandishi kwenye mabano...
Kaizer plz help!! Maana hata my protector-Kimey anashindwa kunisaidia hapo!!
Tukikwambia we kabaila unabisha ona sasa unavyopenda vyeo!Babu ni mwanasheria wa kujitegemea. Salamu anajipitishia mwenyewe...you have been notified and warned accordingly!
.....Aisee mnanipa tabu sana kusoma hayo maandishi kwenye mabano...
Kaizer plz help!! Maana hata my LOVE-Kimey anashindwa kunisaidia hapo!!