Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Asanteni watu wangu ila Ngastuka machale ngani desa mama muuza pombe leo ametia maji ila niajeni watu wangu pande za wapi Ololo, Ngalelo, Matejo, Kijenge juu ama chini, Mbauda, Miazini ama kwa watoto wa mashavuni Njiro ata nitie timu 2jumuike pamoko?


Chalianguu niaje mdaffanga! Uko maeneo gani selaa niajeniaje maana mi.niko Maeneo ya ungalolo arifu angu kam niaje niteme
 
Hahahahah.....
dont hahahaa me swtyhat........my heart is burning with luv, the love to you and for you.
mambo ya kwenda PM ya nn bana.........kwani kutongozana watu wanafanyia gesti? si wanaanza hadharani kwanza, then ndo wanaenda gesti!
 
Eti nini wewe mbona una wenge hivyo kama ndiyo hivyo na mimi nataka ili nisiseme kwa watu ile siri yako
Hebu kamnunulie huyu mtoto ugali utumbo pale Florida wewe.........sisi tuachie tumalizane nae through bluetooth
 
Hebu kamnunulie huyu mtoto ugali utumbo pale Florida wewe.........sisi tuachie tumalizane nae through bluetooth

Ntafanya hivyo kwa sharti maoja tu niachie MJ1 wangu maana nimechoka kuishi@ kama dikidiki kwa ajili yako FL ananizungushia majungu ya rangi huku anakung'ang'ania wewe sasa cjui we ni wa rangi gani
 
Ntafanya hivyo kwa sharti maoja tu niachie MJ1 wangu maana nimechoka kuishi@ kama dikidiki kwa ajili yako FL ananizungushia majungu ya rangi huku anakung'ang'ania wewe sasa cjui we ni wa rangi gani
Abee!
 
dont hahahaa me swtyhat........my heart is burning with luv, the love to you and for you.
mambo ya kwenda PM ya nn bana.........kwani kutongozana watu wanafanyia gesti? si wanaanza hadharani kwanza, then ndo wanaenda gesti!
Am watching you. ..
 
Chalianguu niaje mdaffanga! Uko maeneo gani selaa niajeniaje maana mi.niko Maeneo ya ungalolo arifu angu kam niaje niteme

Haina mori chali angu nimekunyaka izo pande na ungalimi mi nipo pande za sinoni maeneo ya Kidemi ila sasa nipo nje ya Chugu.
 
Ntafanya hivyo kwa sharti maoja tu niachie MJ1 wangu maana nimechoka kuishi@ kama dikidiki kwa ajili yako FL ananizungushia majungu ya rangi huku anakung'ang'ania wewe sasa cjui we ni wa rangi gani


Mjukuu hujaitwa waitika haya bana!
babu yangu Kimey........... nimeitwa na Derimto mpenzi wangu wa December 2010 ndo naitika ati................. pengine ntapata bahati ya kuanza naye 2011................. Derimto baba hebu sogea na kipande hii.
 
babu yangu Kimey........... nimeitwa na Derimto mpenzi wangu wa December 2010 ndo naitika ati................. pengine ntapata bahati ya kuanza naye 2011................. Derimto baba hebu sogea na kipande hii.

Mjukuu unaweza kuniambia huyo Deri sijui mto ni nani na ana mamlaka gani ya kukuita bila ruhusa ya babu? Sikumbuki kama nshachukua posa wala kishika uchumba.
 
Mjukuu unaweza kuniambia huyo Deri sijui mto ni nani na ana mamlaka gani ya kukuita bila ruhusa ya babu? Sikumbuki kama nshachukua posa wala kishika uchumba.
Tumeona unabana sana Babu........tutakuja jitambulisha tukiwa na kidhibiti (eidha tumbo au mtoto kabisa)
 
Tumeona unabana sana Babu........tutakuja jitambulisha tukiwa na kidhibiti (eidha tumbo au mtoto kabisa)

Kwamba mmeshindwa kuafford zile zinazouzwa 2500, au hazina ladha au mtajisahau tu kwa sababu ya kuchanganyikiwa na mahaba, au hamjali, au hamuogopi au niwashtaki kwa bibi awafunde?
 
dont hahahaa me swtyhat........my heart is burning with luv, the love to you and for you.
mambo ya kwenda PM ya nn bana.........kwani kutongozana watu wanafanyia gesti? si wanaanza hadharani kwanza, then ndo wanaenda gesti!

Etii....
 
Kwamba mmeshindwa kuafford zile zinazouzwa 2500, au hazina ladha au mtajisahau tu kwa sababu ya kuchanganyikiwa na mahaba, au hamjali, au hamuogopi au niwashtaki kwa bibi awafunde?
Hahahaha nia na madhumuni ni kumshinikiza Babu atoe idhini..........we wafikiri kwa nini Chadema wanaandamana?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom