The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
hahahaha!u got it ryt,,sina nguvu ya kuamka,,,mcng uuuuuuuu
Ulizidisha nini dozi mkuu? Any way pole wahi kabust
Ndio yakhe..miye mzanziberi!...hapo umenena, ila hata kama una bif na mtu huna sababu ya kutokutana kwani ukikutana nae ndio mnaweza kuyamaliza kwa haraka. Samahani kwa swali hili kama utajisikia vibaya, wewe ni mzanzibari? Lugha yako inajieleza kama hukutania
Mcng uuuuuuu hahahahaha hope u are gud, we got Dar bit late sijui watu ndio wanarudi kutoka X Mass sababu tulikutana na foleni kubwa ya ajabu hadi saa sita usiku you can imagine
Preta miss you to mamito, yesterday i was just so tired and wasted and my phone went off after calling you
Ulizidisha nini dozi mkuu? Any way pole wahi kabust
nilikucheck ukawa hupatikani roho yangu ikawa haijatulia ila sasa niko sawa,,,pole kwa uchovu finest wangu
Hahahahaha bora kama hawakunichakachua maana sina imani na Kimey katu
Huyu ndo kiwanja chake hicho dogo..huwa Bigirita akija anamletaga pale2.Posted via Mobile
Uko midway nini?
mapaja uliyoagiza yanakusubiri
alionyesha utulivu wakati wote wa kunitoa kitanzi shingoni......sijui kwa nini
Mbona hukumwagiza The Finest au Teamo au Maty au Bigirita si yataharibika jamani?
nilipata wasiwasi....lakini Teamo na Kimey walinihakikishia usalama wako.......was gr8 guys.....kukutana vile
Huyu ndo kiwanja chake hicho dogo..huwa Bigirita akija anamletaga pale2.
Zileteni guys...plz send zem to us via PMs or email....so anxious!Nilikuwa poa kabisa dah halafu we'll send you guys the pictures
hao sikuwa na imani nao kabisa nilimpa kimey atakupatia leo.
Yaani Kimey alikuwa vere vere ila imani yako kwangu najua ni thabiti sana hebu mwambie LONER anitumie kitu cha Arusha nimesahau kununua jana wakati tunaondoka lol!!!!
simwambii loner ng'oooo,,mpaka uniitie kimey,,au yuko guest nini?
Kwa kweli ilikuwa ni fwantastic, Maty where are you?