The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Babu The Finest karibu ..........afadhali yako weye unaonyesha caring kwa vitendo duh....hadi Arusha??
Namlinda Smiles kwa hatibreka mkuu....hamna kingine (Smiles, mimi tu ndo mlinzi hodari)
Birds of the same feathers.....
Hapo kwenye mabano umesemaje vile....?!!!!
Babu The Finest karibu ..........afadhali yako weye unaonyesha caring kwa vitendo duh....hadi Arusha??
Ukiwa na vitega uchumi sehemu halafu pia na maslahi varangati kama la jana lazima uwe na wasiwasi sana inabidi uende kuangalia haraka haraka
Hahahahha afu mbona wote Smiles na Bigi mnapost via mobile?? hampo sehemu moja kweli?? hahahahahahahahha
Jamani kwa herini ngoja nikamtulikie mkoloni kwa uadilifu
Mjukuu Biggy yuko wapi hivi??
shsss....kuna wanoko hapa.....
aisee jana mbona ukauchuna mkuu...
Ssssshhhh..... Usiseme kwa nguvu basi my sis!!!!
Hahhahahah......
Hivi umenionea huyo swithat wangu maana nataka nimbadilishe kama nilivyofanya avatar
habari yake protection kwa man track..........mimi nalinda na kukagua manually!Mjukuu taratibu usije sutwa bure maana hufichi kitu! Babu tineja aliomba pole hakupewa! Ha ha ha kweli mistari ya Big Smiles hawezi hawzi chomoka ndo maana am right here just to protect her na kumpa good direction!
Caring in practise.......analinda mali zake kwa vitendo lol......nimecheka kwa nguvu hadi mkolonikanishangaa.Hivi Derimto anafanya nini hapo chini???
habari yake protection kwa man track..........mimi nalinda na kukagua manually!
babu avatar yako nimeipenda........ such a cuttiehabari yake protection kwa man track..........mimi nalinda na kukagua manually!