The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
ok... Orait...baraza la memkwa linahamishiwa moro kwa maty.
Babu unahitajika library utoe vitabu
mh! isiwe tabu wacha nimrudishe babu ili unipumzishe
Hii ndo umenikimbiza nije niione? Ndo salamu hii? Mwone kwanza!
kweli unazeeka vibaya,,,kwani hujaona kuwa library huwa vinapatikana vitabu?
Hapa unamzungumzia babu yupi? Manake siku hizi hata The Finest naye ni babu eti!
hapa unamzungumzia babu yupi? Manake siku hizi hata the finest naye ni babu eti!
Ile nauli nlokutumia utakuja lini?
namzungumzia babu tineja,mewata,ndulele,,,unamfahamu?
ile nilitumia hebu tuma tena,,,na mimi narudi kitandani sasa
unajua babu wewe hauna tofauti na wale polisi wa arusha
unajua babu wewe hauna tofauti na wale polisi wa arusha
Sioni ulinzi wako,,hapa nataka kutoka ndani nashindwa wapi ww sasa??
Hebu kalale kule, nazungumza na mjukuu wangu mteule mkuu.
Punguza CRAP!
Pliiiiiz,,,punguza ukali jamani
Hapa unaniulizia mimi kamanda wa JWTZ au mgambo wa City koplo Finest?
Pliiiiiz,,,punguza ukali jamani