The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Namuulizia kamanda mwenyewe,,huwa siongei na vikoplo
Ninafanya kumtadha wa kila kinachotokea humu utanikumbuka na utanitafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuulizia kamanda mwenyewe,,huwa siongei na vikoplo
Nimepewa ruhusa kutengua kiuno cha Babu at anytime kwahiyo mwambie aache kuja nyumbani kwa wajukuu zake maana naona ameishapageuza nyumbani kwake
crap!!!!!!! Vere vere vere!
Ninafanya kumtadha wa kila kinachotokea humu utanikumbuka na utanitafuta
Natamani nije lakini hueleweki. Unaimba bongofleva unacheza taarabu.. Si ni wewe umeandika tena hii hapa chini?Yani ndo maana nakuhusudu,,hebu njoo huku library tumpotezee huyu mgambo
sitavumia kukukosa,,i will never let u go,,cammmon!
sitavumia kukukosa,,i will never let u go,,cammmon!
Nimepewa ruhusa kutengua kiuno cha Babu at anytime kwahiyo mwambie aache kuja nyumbani kwa wajukuu zake maana naona ameishapageuza nyumbani kwake
Najua huyo Babu asiye na meno na mamlaka yake butu kwa wajukuu anataka akupeleke huko chaka sasa basi nita-withdraw ulinzi niliokuwa nimekuwekea
Natamani nije lakini hueleweki. Unaimba bongofleva unacheza taarabu.. Si ni wewe umeandika tena hii hapa chini?
unamlinda hata babu mkaguzi??
We ulinzi wako una mipaka yake. Wengine babu analinda mwenyewe.
Ni hatari kwa wajukuu yaani hakubaliki kama MALARIA inabidi kumtokomeza
Hey vijukuu, vitukuu, vibabu, vibaba and the rest of the crap......the st. yuko hapa.....ana salamu za kiroho....wiselady, smiles any volunteer?
Hapo kwenye red ni hatari kwa usalama wa maisha yako. Babu samtaiz huwa anaua kwa kukusudia.
Ukiona nyani mzee ujue amekwepa mishale mingi.....that applies to the st....hapana ogopa vitisho bana.....