Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
sitavumia kukukosa,,i will never let u go,,cammmon!

Najua huyo Babu asiye na meno na mamlaka yake butu kwa wajukuu anataka akupeleke huko chaka sasa basi nita-withdraw ulinzi niliokuwa nimekuwekea
 
Najua huyo Babu asiye na meno na mamlaka yake butu kwa wajukuu anataka akupeleke huko chaka sasa basi nita-withdraw ulinzi niliokuwa nimekuwekea

We ulinzi wako una mipaka yake. Wengine babu analinda mwenyewe.
 
Hey vijukuu, vitukuu, vibabu, vibaba and the rest of the crap......the st. yuko hapa.....ana salamu za kiroho....wiselady, smiles any volunteer?
 
Natamani nije lakini hueleweki. Unaimba bongofleva unacheza taarabu.. Si ni wewe umeandika tena hii hapa chini?

Nilikuwa naangalia flavour ipi ni poa,,ila yako nimeona inalipa zaidi
 
Hey vijukuu, vitukuu, vibabu, vibaba and the rest of the crap......the st. yuko hapa.....ana salamu za kiroho....wiselady, smiles any volunteer?

Hapo kwenye red ni hatari kwa usalama wa maisha yako. Babu samtaiz huwa anaua kwa kukusudia.
 
Hapo kwenye red ni hatari kwa usalama wa maisha yako. Babu samtaiz huwa anaua kwa kukusudia.

Ukiona nyani mzee ujue amekwepa mishale mingi.....that applies to the st....hapana ogopa vitisho bana.....
 
Ukiona nyani mzee ujue amekwepa mishale mingi.....that applies to the st....hapana ogopa vitisho bana.....

Usijesema sijakuonya.....maslahi ya babu yanaweza kugharimu uhai wa chochote kilicho mbele yake. Hata wanaojiita watakatifu feki.
 
Hii hapa chini ni chakula ya moyo wa Babu.



The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

WiseLady (Today


 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…