i'm here darling mzima ww mi bado nalala mwaya likizo timeKwa kweli ilikuwa ni fwantastic, Maty where are you?
THANX dear!mzima dearest, 2nawashukuru sana kwa mapokez yenu mazuri pamoja na kuwastukiza lakini mme2karimu sana kiukweli 2meinjoy sana sana sana. yaani uko safarini kulikua hakuna kuchokozana kila m2 alikua amechoka. 2nawashukuru na madereva we2 kwa ku2leta na ku2rudisha salama though wote 2lichoka ila wao wamefanya kaz ya ziada hawakupata nafac ya kusinzia mungu awabariki sana
Mkuu, hivi sijawapostia namba za members eeh?...ngoja niwatumie fasta ili uwasiliane nae live...!
Mzima lakini?
THANX dear!
Mbona unapost via-mobile:redfaces:
Sasa harakaharaka ilikuwa ya nini?niko likizo dear mpaka jan
Sasa harakaharaka ilikuwa ya nini?
Si ungebaki tukuonyeshe na kukupeleka kwa SaharaVoice!
Wewe binti mbona umenipa wrong number?jamani jamani....laiti ungejua ni nini unakosa pale ambapo hujuani na mwanaJF hata mmoja......kimbia haraka ukatafute popote pale alipo mfahamiane
Hujadhamiria...
Nia ya msingi ya JF si pahala pa kujifichaficha kama kichuguu cha NGUCHIRO..!..Ni mahala pa kusocialize, kubadilishana mawazo, kutoa hoja za kisomi na kitaaluma za kusaidia maendeleo ya nchi na kutoa majawabu ya matatizo mbali2 ya kijamii!
Hivyo tusione hatari kukutana, unless kama tuna matatizo binafsi ya ugomvi, almaarufu 'bifu', au kama tuna lugha mbaya majukwaani ambazo tunaona tukionekana zitatufanya tuonekane duni..
Thats me!
Hongereni sana wadau wa A town na wapambe waliowapa shavu.
Ila kwa hili lazima nikate rufaa...Kuna watu, wengine wanajijua nitawasemea kwa bibi!
Babu DC
babu usinisemee kwa bibi atanichapa c unajua nilitoroka mara moja 2
Next time tutumie helkopta maana wale tembo, mmhh
Wonderful!
We are so amused to hear that!
Lakini dogo pia mnatakiwa MTUCHANE kwenye maeneo tuliyochemsha!....:A S-rap:...iam not sure if we did all the thang in a favorable way to each..right?
Mkuu Eeka Mangi.Kama kuna kitu nilikikosa ni hii kitu. Tarehe 27/12 saa 12 asubuhi nawahi zangu A town. Nakaribia KIA gari inazima ghafla! Najitahidi kwa kila hali lakini najagundua kuwa pipe ya mafuta imepasuka. Saa 1.30hivi Paka Jimmy ananitwangia! Du nilitamani kulia maana niliona nnavyoikosa hii trip. Si kwamba sijawahi kwenda Tarangire ila uchungu wa kutokukaa na wanafamilia siku hiyo. Mpaka dogo analeta fundi na spea ni saa saba mchana, hata hamu ya kwenda AR sikuwa nayo tena.
PJ, Preta, Wiselady, Mzee wa Rula, Craswise, Mzee wa Mihela, Mtumishi Wetu na wote hongereni sana kwa kufanikisha shughuli nzima. Mungu akituweka hai basi nawakaribisha kwenye haka kamji kaliko huku jirani na mlima Kilimanjaro. Nitaweka bandiko siku za usoni kuona ni namna gani nitaweza kufanikisha hili.
Mkuu DC...Hongereni sana wadau wa A town na wapambe waliowapa shavu.
Ila kwa hili lazima nikate rufaa...Kuna watu, wengine wanajijua nitawasemea kwa bibi!
Babu DC