Mkuu DC...
Unaheshimika sana broda!
Sisi tumefungua njia (sijui kama niko sahihi hapa)tu, ila we have got a world of opportunities to explore and discover!
Karibu sana mheshimika!
Kiongozi,Unajua PJ,
Kuna wajukuu zangu ambao naamini ni royal sana kwa babu yao. Sasa walijua babu katingwa na mambo fulani halafu wakamtoroka. Natamani niwacharaze bakora wote!
Anyway, itabidi wampe maelezo ya kutosha babu yao, vinginevyo atawapandishia vioo hadi 2011! Au wewe unaonaje?
Babu DC
i'm here darling mzima ww mi bado nalala mwaya likizo time
Thanks for the photos mkuu, can i use them to print a few New Year post cards? i may sign the as "courtesy of JF members Tarangire blast"JF Arusha Family in Tarangire NP
Babu kesho narudi tena Arusha kupeleka mahari hii trip imekuwa succesful PJ,DERIMTO,PRETA,LILY FLOWER watanisaidia kwenye hiliHongereni sana wadau wa A town na wapambe waliowapa shavu.
Ila kwa hili lazima nikate rufaa...Kuna watu, wengine wanajijua nitawasemea kwa bibi!
Babu DC
dah... kweli mdogo wangu hiyo ndiyo "speed" as defined in social networks, umeanza na kumaliza kazi fastaBabu kesho narudi tena Arusha kupeleka mahari hii trip imekuwa succesful PJ,DERIMTO,PRETA,LILY FLOWER watanisaidia kwenye hili
Mkuu,Thanks for the photos mkuu, can i use them to print a few New Year post cards? i may sign the as "courtesy of JF members Tarangire blast"
Please approve this one
they are quite unique and beautiful... i am sure the memories will live with those who were there forever...
Kama kuna kitu nilikikosa ni hii kitu. Tarehe 27/12 saa 12 asubuhi nawahi zangu A town. Nakaribia KIA gari inazima ghafla! Najitahidi kwa kila hali lakini najagundua kuwa pipe ya mafuta imepasuka. Saa 1.30hivi Paka Jimmy ananitwangia! Du nilitamani kulia maana niliona nnavyoikosa hii trip. Si kwamba sijawahi kwenda Tarangire ila uchungu wa kutokukaa na wanafamilia siku hiyo. Mpaka dogo analeta fundi na spea ni saa saba mchana, hata hamu ya kwenda AR sikuwa nayo tena.
PJ, Preta, Wiselady, Mzee wa Rula, Craswise, Mzee wa Mihela, Mtumishi Wetu na wote hongereni sana kwa kufanikisha shughuli nzima. Mungu akituweka hai basi nawakaribisha kwenye haka kamji kaliko huku jirani na mlima Kilimanjaro. Nitaweka bandiko siku za usoni kuona ni namna gani nitaweza kufanikisha hili.
Umepata yupi sasa kati ya wale 10?Babu kesho narudi tena Arusha kupeleka mahari hii trip imekuwa succesful PJ,DERIMTO,PRETA,LILY FLOWER watanisaidia kwenye hili