Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Same here! Ulipotelea wapi? Kanisani nilikutafuta sikukuona.
nini tena kulikoni Da Preta..
mi nilizani huu ni mwaka wetu lakini nona tumeanza na malamishi..
ka nilikukosea mwaka jana nisamehe naomba...
hahahahah lol
Heri ya mwaka mpya ..
hukukosea chochote....ila nimekwazika......
kwa nini umepotea hivi hapa mpaka nikakumiss hivyo toka mwaka jana mpaka leo
HAPPY NEW YEAR...
mi mzima ila hiyo avatar tu kila nikiichek nawaza hiyo mement inatokeaga wakati gani?
Nilikua kila mahali hapa mjini penye BAR.... Mambo ilikua ni mbaya mno... Wewe vipi ulijificha wapi?
happy new year wote
Bado najaribu kuzinduka kutoka kwenye HANGOVER ya weekend hii... Hali ni mbaya... HAPPY NEW YEAR kwa wote...
Muzee heri ya mwaka mpya sijui kwanini preta ameweka hiyo avatar wakati mimi nimeisharudi kutoka huko Arusha kwenye ile tripu
Ulikuwa bize na bibi ndio maana...
hukukosea chochote....ila nimekwazika......
kwa nini umepotea hivi hapa mpaka nikakumiss hivyo toka mwaka jana mpaka leo
HAPPY NEW YEAR...
hahahahahah lol
samahani sana beautiful Preta..
mie holiday hii nilikuwa busy atafuta mume
ndo maana sikuoekana sana hapa kipezi changu lol
hahah lol
miaka inakimbia lakini mmmhhhh
mwaka huu wangu lol
hata mi nilikumiss sana yaani ..
nini kilinipita humu....hahahah lol:redfaces:
smiles happy new year to you
avatar calling ujue....
hahahahahah lol
samahani sana beautiful Preta..
mie holiday hii nilikuwa busy atafuta mume
ndo maana sikuoekana sana hapa kipezi changu lol
hahah lol
miaka inakimbia lakini mmmhhhh
mwaka huu wangu lol
hata mi nilikumiss sana yaani ..
nini kilinipita humu....hahahah lol:redfaces:
Orait Orait ngoja next time nakuja yaeda chini huko inaonekana kuna mambo mengi ambayo nayakosa btw umenionea WL naona Loner bado ana hangover
Bibi anakaba mpaka penalti lol.
kisa babu hatukwenda nae safari ya arusha basi tuliporudi tulikuta amenuna kweli
Orait Orait ngoja next time nakuja yaeda chini huko inaonekana kuna mambo mengi ambayo nayakosa btw umenionea WL naona Loner bado ana hangover
and me think this is very beautiful.....
Atiiii unasemaje hebu rudi tena naona unataka mimi na wewe huu mwaka tuuanze vibaya sasa