The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Inategemea, shida nikwamba nilikua napiga BANDIKA BANDUA... Mpaka kieleweke...
I hope haikuwa VICE ROY maana hii kuna mtu hataki kuisikia hadi anaiita VICE OF NO REASON
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea, shida nikwamba nilikua napiga BANDIKA BANDUA... Mpaka kieleweke...
Niliwaona lakini nilikuwa kwenye gari kwahiyo i didn't dare hata kushuka you know how faithful i am to you sikutaka kabisa kuingia majaribuni na kuhatarisha penzi letu.
Mamito Preta,
I really love your AVATAR.
Naona unaenda na motto ya Mwaka mpya na mambo mapya, alfu hayo mambo yanazidi kua yaki KUBWA...
Jamani sijakuona kabisa weekend hii.... Ulikua mitaa gani??
Usisahau kuweka matokeo hapa...!
askofu heri ya mwaka mpya by the way mimi huwa nafuata mwaka mpya wa kanisa sio huu wa kidunia lol!!!!!!
mmmmhhhhh
i find hard to believe that.....lol
heri ya mwaka mpya the finest...
Sasa..... Hiyo hang'over iliyochukua siku mbili imetoka kanisani?
YOU HAVE TO BELIEVE HIVI HASHYCOOL NA NILHAM WAKO WAPI AU BADO WAKO VACATION???
YOU HAVE TO BELIEVE HIVI HASHYCOOL NA NILHAM WAKO WAPI AU BADO WAKO VACATION???
naona walienda mitaa ya juu kwa holiday...
Snow imezidi na ndege haziruhusiwi kuondoka....lol
Sijui niyafanye CONFIDENTIAL
heri umeliona hili.....
HA HA HA HIYO SNOW HADI LEO LOL!!!!!!!!!
Nilikwambia manzi za Arusha lazima upate consultation toka kwa wazoefu vinginevyo utalizwa...we yafanyie kazi hayo matokeo bila kutushirikisha then utaona unavyokuja kujilaumu
Nilikwambia manzi za Arusha lazima upate consultation toka kwa wazoefu vinginevyo utalizwa...we yafanyie kazi hayo matokeo bila kutushirikisha then utaona unavyokuja kujilaumu
hahahahahah lol
yap snow itakuwepo mpaka kesho lol Global Warming ...
i borea wote turudi TZ ndo mahali penye usalama lol
HALAFU NIMEKUMBUKA PJ WAPI BANAAA AU KAKAMATIKA TOKEA TAREHE 31
mmmmmhhhhhh
umenipa kitu cha kufikiria..
PJ kasema asitafutwe yupo busy mpaka tar 10.....bado anageuza mwaka