MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Heheeee....
Umesahau babu ana apetait na kesi kama mtikila?:A S 8:
................Hakikisha waja na Bibi akiwa na cash kabisa kama mke wa Chenge.
Babu ni mwanasheria wa kujitegemea. Salamu anajipitishia mwenyewe...you have been notified and warned accordingly!
...............Mwanasheria hajisimamii kesi bana................hakuna cha kunimiss wala nini.....hii yote rushwa wakati mie nlishakula kiapo
Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
Sitatoa wala kupokea rushwa kupoteza haki................. unaona hadi Smiles analia!!
Tell her yooooo. Mwambie nshauza bibi kwa kesi ya mjukuu.
...........................Etiii??