Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,681
Mkuu hapa ni pakame sana yaani!!Siona hata ngamia tu wanaoweza kustahimili jangwa,sasa hao twiga wapenda maji ntawapata kweli???Kuna mademu? Ngaliba
Dah kungekuwa na watoto wazuri nisingekawia kuwa hapo nami nipate hata balimi kama zipoMkuu hapa ni pakame sana yaani!!Siona hata ngamia tu wanaoweza kustahimili jangwa,sasa hao twiga wapenda maji ntawapata kweli???
Sioni kabisa mkuu watoto wa kipare.Naona wazungu wazee tu kwenye dancing floor
Hawa kina mshana jr walivyo wabahili unategemea twiga wanaweza kuja kula majani makavu hapo?Mkuu hapa ni pakame sana yaani!!Siona hata ngamia tu wanaoweza kustahimili jangwa,sasa hao twiga wapenda maji ntawapata kweli???
Sioni kabisa mkuu watoto wa kipare.Naona wazungu wazee tu kwenye dancing floor