Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalo hili umelianzisha wewe mwenyewe...!
Mkuu ni hii ya Christian somebody tumeiona kuleeee lakini huku kimyaaakuna habari nimeiona mahali nikaja huku naona hata siioni.kumbe mnaogopa eeh. kuna mtu mwenye vyeti feki humu kwani.?usiku mwema .naona wote mmekimbia mnachungulia toka mvunguni .
ahahaaa
Ni habari gani hiyo?Tatizo kuna watu ni wendawazimu usiwaamini haraka unaweza kukuta anatoa taarifa akiwa amewehuka tayari kama taarifa ingekua imetoka kwenye chanzo cha kuaminika mbona wadau wangekua wameshupalia,ninachoamini dogo kalizua atasakwa mpaka watampata.
Ni habari gani hiyo?
Shuuleni tulikuwa tunasema o.pHatujakuelewa mama. Hebu fafanua kidogo.
Hata we muoga sana ndo maana hutaki uguswe papuchi yako na majamaa wa JF. Kama kweli Jasiri, toa papuchi.
Unalo hili umelianzisha wewe mwenyewe...!
Gurumo, maalim kinyasi hicho kikosi hatumwi mtoto dukani.Haya mambo mnatukumbusha mbali vijana, mnatukumbusha pesa za noti ambazo sasa mmezugeuza na kuzifanya za chuma
Duuh ni noma sana... Ha haa Tz kila kitu kinawezekanaWafukunyuku uko IG wanakomaa conductor anatumia cheti cha mtu cha form IV maana alichezea ziro na mwenyewe yupo TBR uko mtangazaji wa redio flani jamaa kachukua cheti akajiongeza elimu ya juu ila mtoa habari ni yule dada ambae akili zake zinaendaga likizo mara nyingi na kuna hashtag ya 'tuhakiki vyeti'