Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Thibitisha au futa kauli yako Dark City kwa ulivyoniona u wapi utoto wangu????
Sio unaongea tu hapa kuwapa watu faida.


Wewe mtoto hebu kuwa na adabu basi....


Umeona mwenyewe kuwa mimi ni babu tena mstaafu...

Sasa mbona unanitaka nicheze taarabu??

Jitahidi basi uwe na adabu kwa babu...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Wewe mtoto hebu kuwa na adabu basi....


Umeona mwenyewe kuwa mimi ni babu tena msaafu...

Sasa mbona unanitaka nicheze taarabu??

Jitahidi basi uwe na adabu kwa babu...

Babu DC!!

hapo kwenye Bold sijapaelewa.
uzee wako hata sijauona maana Mume wangu yupo kama wewe, tena wewe kijana.............LOL.........!!!!!!!!!!!!!!
 
Soma tena halafu kwa umakini!

Endeleza ubishi tu, ila dawa yako iko jikoni!
 
Back
Top Bottom