Tanga raha bana.....!
Thibitisha au futa kauli yako Dark City kwa ulivyoniona u wapi utoto wangu????
Sio unaongea tu hapa kuwapa watu faida.
nshakuja mpenzi. Umefanya vizuri tutahakikisha hatoi mguu nje
Wewe mtoto hebu kuwa na adabu basi....
Umeona mwenyewe kuwa mimi ni babu tena msaafu...
Sasa mbona unanitaka nicheze taarabu??
Jitahidi basi uwe na adabu kwa babu...
Babu DC!!
Well, mke mwenzagu, kikazi zaidi.
mpaka kwake apasahau mwaka huu. Liwalo na liwe
weeeeee shindwa huko siwezi kumkiss filipo hata siku moja nilishamuacha siku nyingi